afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,153
- 9,271
Kuna watu hawajaonekana bado subiri kwanza
Sis kina nani tena hao jamni dahhh
mate yananidondoka eti...:biggrin:
Kuna watu hawajaonekana bado subiri kwanza
duhhhhhh
Nafurahi Bday yangu , kwa kweli
Naogopa kuzeeka sababu ya wrinkles
lakini nimewahi kusikia uzeeni kuna busara
kwa hiyo kuna faida kubwa ya kuzeeka dear ..
asante sana 😛oa
Thank you AD
karibu sana sana any time you feel just do it
:shock:Aisee!!! Taratibu eheeee salamu yatosha keki tutakuletea....:eyebrows:Thank you AD
karibu sana sana any time you feel just do it
usiogope kuzeeka namba ya umri, ogopa kuzeeka uso na mwili.
Nilimpa hela akanunue vinywaji kwa ajili ya wageni tokea jana ila hadi sasa hajarudi ngoja nipitie kule Tandale nikamcheki usikute tayari kaishaharibu huyudahhhhhh dawa imeadimika kweli hiyo siku hizi
eti wajuwa yuko wapi??
sante dear
Nlikuwa natafuta mtu wa kunisaidia
ku organize hii party are you free??
:shock:Aisee!!! Taratibu eheeee salamu yatosha keki tutakuletea....:eyebrows:
:shock:Aisee!!! Taratibu eheeee salamu yatosha keki tutakuletea....:eyebrows:
:juggle: mmmmmmhhhhhh
Nilimpa hela akanunue vinywaji kwa ajili ya wageni tokea jana ila hadi sasa hajarudi ngoja nipitie kule Tandale nikamcheki usikute tayari kaishaharibu huyu
Hii taarifa ni mbaya kuliko maelezo..
Tumepoteza fedha
Tumempoteza klorokwin
Tumepoteza pombe..
duuuuuhhhhhhhh
Mpe Nick kazi ya kuandaa sherehe basi...:tongue:
TF kashaanza mambo yake bana wivu kibao
Hataki hata niwasalimie
Au anatala nikitoa salam tuu then nikimbie nisibaki
Sasa hapo mpaka nipate ruhusa kutoka kwake
Nakutakia baraka tele za Mwenyezi Mungu katika kuazimisha siku yako hii ya kuzaliwa, nitakuwepo kwa ajili ya 😛hoto:. Love u.
usimsikilize sana , atakuingia akilini...
( ukimaliza kusoma hii chana karatasi tafuna mwalimu asione):spy:
Hapy birthdy swiry
yaaaaaaammm
Chocolate is a girls best friend...
asante sana dear ... Hizo zinatosha kabisa kwa wiki ..
sante sana dear ...Na nina kumbuka mwaka jana ni wewe
ulinirushia uzi kama huu .. asante sana mamitoo..😛oa
Nilikuwa nacheki hali ya hewa kama kuna kimbunga chochote.....:lol:TF kashaanza mambo yake bana wivu kibao
Hataki hata niwasalimie
Au anatala nikitoa salam tuu then nikimbie nisibaki
Sasa hapo mpaka nipate ruhusa kutoka kwake
😛hoto: Nazihifadhi kwa ajili ya ukumbusho:juggle: mmmmmmhhhhhh
Hakikisha huku unasoma sheria na kanuni:A S-coffee:AD umeona eehhh
Mpaka naogopa kuongeza neno hapo
:tea:ngoja nikapate hiyo
Ni sawa na kuendelea kuwaamini CCM waongoze hii nchiHii taarifa ni mbaya kuliko maelezo..
Tumepoteza fedha
Tumempoteza klorokwin
Tumepoteza pombe..
duuuuuhhhhhhhh
Mpe Nick kazi ya kuandaa sherehe basi...:tongue:
AD huyo jamaa (TF) hatoniamini kamwe bora uchague mwingine
Ngoja nichukue miwani mikubwa kabisa:glasses-nerdy:usimsikilize sana , atakuingia akilini...
( ukimaliza kusoma hii chana karatasi tafuna mwalimu asione):spy:
Nahakikisha ulinzi na usalamaKumbe na wewe unamjua eeehh
jamaa ana wivu balaa
Mpaka kwenye birthday ya watu anataka aharibu