Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

7313.jpg


Hello Rubani,

May all your dreams come true on this very special day.
I wish you good health, happiness, prosperity and love.

HAPPY BIRTHDAY RUBANI


Captain
bana ohhhhh
uminiingia kwa kweli
asante sana dear ...

:A S 465:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mjukuu wangu mwaminifu na mpendwa wangu Afroie...

We ni shahidi yangu kwa kuwa unajua navyokupenda.

Mimi babu yako ODM nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa. Mungu akujalie uishi maisha marefu na matamu zaidi. Akuongoze katika yote yaliyo mema. Adui zako wapate upofu watakapotaka kukudhuru. Ujaaliwe upate watoto wengi, waizunguke meza yako wakati wa chakula. Wakuzalie wajukuu na vitukuu.

zawadi yako toka kwa ODM ni; Mmmmmmwwwaaaah!

Karibu kitandani huku umpetipeti babu yako.
Hili nililitegemea tu:lol::lol: wewe mzee unazeeka vibaya sana
 
The Finest ,
Zawadi yako nono chumbani..
sina la kukwambia kwa sasa maana " I'm Speechless" ..
Thank you so much my dear friend...

hahahahahah Nimependa huo mpira wa rugby .. mwehhhhhh
Best present eveeeeeeeer...



0319.gif
Just for you The Finest .......



What more can i say on my way with a bottle of Jim Beam in my hand......:eyebrows:
 
Usijali sana maneno yangu, mwezi ukiandama huwa nina mawenge, naweweseka sana hasa mida ya asubuhi tena hasa kama sijapata supu ya maharage na chapati.

Naona unafunguka sasa...ruhusa ya nani huyo??
 
happy b day Afrodenz...
how old are you now???????

you are always the one with
'full of positive energy'
dont change please....

How old M I ???? well , ask me tomorrow please......

Hey thank you so much for your blessing ...
Take care , Be safe..... :biggrin:
 
Happy birthday, our precious friend,
Our love for you, we wish to extend.
Experiences filled, with joy and laughter,
Special memories, we shall recall after.

From the beginning, you made us smile,
Accepted us, without any trial.
Never judged or jumped to conclusions,
Exciting friendship; random infusions.

We cannot ask, for anything more,
So many things, we simply adore.
Hope this birthday never ends,
In our hearts, time transcends.

198050%252Cxcitefun-wife-birthday-cards.jpg
 
Mjukuu wangu mwaminifu na mpendwa wangu Afroie...

We ni shahidi yangu kwa kuwa unajua navyokupenda.

Mimi babu yako ODM nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa. Mungu akujalie uishi maisha marefu na matamu zaidi. Akuongoze katika yote yaliyo mema. Adui zako wapate upofu watakapotaka kukudhuru. Ujaaliwe upate watoto wengi, waizunguke meza yako wakati wa chakula. Wakuzalie wajukuu na vitukuu.

zawadi yako toka kwa ODM ni; Mmmmmmwwwaaaah!

Karibu kitandani huku umpetipeti babu yako.


Babu asante sana kwa baraka zako kwa kweli..
sina zaidi la kusema ila umenichakachua ubongo...
I will always love you babu... Karibu Kinywaji..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom