kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna jamaa mmoja kwenye tik tok mzungu fulani aliwahi kusema kama bado unapenda Kuishi vizuri Ulaya usitamani kwenda afrika maana ukienda na kurudi kila mwaka utakuwa unatamani saana kwenda Afrika.
Unajua kwanini Afrika ni nzuri saana ukiwa na pesa au ukiwa na kipato chochote ambacho kinakizi mahitaji yako uta enjoy maisha saana africa tofauti na Ulaya.
Afrika tuna vitu special ambavyo wenzetu hawana vijiwe vya kupiga mastori wenzetu mambo hayo hawana kabisa labda mkutane kwenye sherehe fulani au msibani ndo mnaweza kukutana kidogo mkapiga story na wenzako. Lakini Afrika mambo hayo ni kawaida.
Upweke ulaya upweke upo kabisa na upweke unatokana na Life style ambayo wenzetu wamejijengea
Lakini afrika upweke unaweza ukawepo but ni vigumu saana kukaa na mpangaji mwenzako au jarani yako mkose kuwa mnatembeleana tena bila appointement ulaya hayo mambo hayapo kabisa watu wanaishi maisha ya Sitaki shobo na mtu.
Ulaya ni kuzuri kutafuta lakini sio kuishi huku.
Unajua kwanini Afrika ni nzuri saana ukiwa na pesa au ukiwa na kipato chochote ambacho kinakizi mahitaji yako uta enjoy maisha saana africa tofauti na Ulaya.
Afrika tuna vitu special ambavyo wenzetu hawana vijiwe vya kupiga mastori wenzetu mambo hayo hawana kabisa labda mkutane kwenye sherehe fulani au msibani ndo mnaweza kukutana kidogo mkapiga story na wenzako. Lakini Afrika mambo hayo ni kawaida.
Upweke ulaya upweke upo kabisa na upweke unatokana na Life style ambayo wenzetu wamejijengea
Lakini afrika upweke unaweza ukawepo but ni vigumu saana kukaa na mpangaji mwenzako au jarani yako mkose kuwa mnatembeleana tena bila appointement ulaya hayo mambo hayapo kabisa watu wanaishi maisha ya Sitaki shobo na mtu.
Ulaya ni kuzuri kutafuta lakini sio kuishi huku.