Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,495
- 1,802
Askari hawaoni tabu kumuua Raia mwenzao ambae hana silaha mwenye mawazo tofauti na watawala. Hiyo imegeuka kuwa fasheni yetu sasa Afrika Mashariki..
Democrasia ni nini? Kwa nchi yako Tanzania demokrasia ni kitu gani?
Kipi kinatangulia, kushibadala ? halafu kwenda haja ?
Facts: Haki ya kuchagua inakuwepo tuu inapotokea kuna vingi. Kwa Maskini demokrasia yake ni kupata chakula, malazi, matibabu, elimu, baadae furaha ( Furaha equals democracy )
Bado muda wa kupata demokrasia sahihi. Iliyopo inatutosha, na hata kumtumia vizuri bado hatuja weza.