Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,996
- 189,582
Kwa speed ya light!
Mkuu naona baada ya Uchaguzi umekuwa mtu wa kuhangaika sana.
Tayari Leo umekuwa Mkenya baada ya juzi na Jana kumaliza kuwa mtu wa ulaya "EU"
Pole Sana mkuu Najua unapitia kipindi kigumu Sana
Shit hole countries (Trump, 2018)...+Mawazo yapi ambayo wananchi tunaweza sema hawa wanastahili nchi? kufukuza mwanachama kisa anataka kua mwenyekiti? faragha? mikopo? mawazo gan sasa upinzani wanayo zaidi ya kurudisha hawa ngozi white africa?
- Kama ni kuua thats very normal, Tanzania na uganda zilipigana vita kwan waliuliwa wazungu ama waafrika?
Tunasafari ndefu Sana. UCHU WA MADARAKA NA UBINAFSI ndo tatizo kubwa.
wavumilie, pole pole heshima itarudi:
Iporomosha thread ingine mwajiriwa wa kandika thead! apa moto mpaka 2100, ccm mbele kwa mbele
Wakati huo wewe hata mfupa wako haupo.😃😃😃. Utaimbiwa juu ya kaburi lako CCM mbele kwa mbelee.
I
Bora wakoloni weupe waje kututawala tena aisee maana wataleta maendeleo sana kuliko hawa "makaburu weusi".Askari hawaoni tabu kumuua Raia mwenzao ambae hana silaha mwenye mawazo tofauti na watawala. Hiyo imegeuka kuwa fasheni yetu sasa Afrika Mashariki.
Viongozi wetu ni kama vile wanatafuta Uhuru upya. Wanapambana na yeyote anayewapinga sawasawa na walivyofanya makaburu na wakoloni kwa watu weusi.
Wanatumia kila fursa hata covid 19 kujinufaisha kisiasa. Wanatumia wabunge waliopitishwa kwa njia za gizani kutunga sheria zenye upogo ili kujibakisha madarakani milele.
Nchi zao nilazima ziongozwe na wao wengine hawawezi wataharibu. Kila anaesema hivyo sivyo anatumiwa na mabeberu.
Nothing will be wonderful. When you will meet God in your grave, He won't ask you about CCM but what you have done for him. Nothing more nothing less.😂😂😂😂😂wont that be wonderful? chama kama chama,
Hivi kumbe bongo nako ulifanyika uchaguzi !Mkuu naona baada ya Uchaguzi umekuwa mtu wa kuhangaika sana.
Tayari Leo umekuwa Mkenya baada ya juzi na Jana kumaliza kuwa mtu wa ulaya "EU"
Pole Sana mkuu Najua unapitia kipindi kigumu Sana
Yani nguvu anayotumia kupiga propaganda zisizo na mashiko hapa jukwaani angeitumia kukimobilize chama ili kijigroup na kauanza maandalizi ya 2024 uchaguzi wa serikali za mitaa ingekuwa bora sana.Mkuu naona baada ya Uchaguzi umekuwa mtu wa kuhangaika sana.
Tayari Leo umekuwa Mkenya baada ya juzi na Jana kumaliza kuwa mtu wa ulaya "EU"
Pole Sana mkuu Najua unapitia kipindi kigumu Sana
Unapojustify extrajudicial killings huwezi kukwepa lawama.Mawazo yapi ambayo wananchi tunaweza sema hawa wanastahili nchi? kufukuza mwanachama kisa anataka kua mwenyekiti? faragha? mikopo? mawazo gan sasa upinzani wanayo zaidi ya kurudisha hawa ngozi white africa?
- Kama ni kuua thats very normal, Tanzania na uganda zilipigana vita kwan waliuliwa wazungu ama waafrika?
Unapojustify extrajudicial killings huwezi kukwepa lawama.
Nothing will be wonderful. When you will meet God in your grave, He won't ask you about CCM but what you have done for him. Nothing more nothing less.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama wapinzani hawana hoja tuwaachie uhuru wananchi wawahukumu wenyewe. Uwanja wa kuchezea siasa usiinamishwe.Mawazo yapi ambayo wananchi tunaweza sema hawa wanastahili nchi? kufukuza mwanachama kisa anataka kua mwenyekiti? faragha? mikopo? mawazo gan sasa upinzani wanayo zaidi ya kurudisha hawa ngozi white africa?
- Kama ni kuua thats very normal, Tanzania na uganda zilipigana vita kwan waliuliwa wazungu ama waafrika?
Koho! Koh!.....kwamba kwasababu fulani kafanya na mimi nafanya? huu ni utetezi wa kipuuzi kabisa ndugu yangu.is Tanzania the first to conduct killings? vp kuhusu black americans?
Kichwani ulibebeshwa makamasi siyo ubongo!poromosha thread ingine mwajiriwa wa kandika thead! apa moto mpaka 2100, ccm mbele kwa mbele
Kenya Askari wanauwa pia wakipata kichaa sema Uhuru ni smart, Matured, civilized na educated utumia akili kuliko nguvu