Afrika Mashariki inarudi nyuma kidemokrasia

Afrika Mashariki inarudi nyuma kidemokrasia

Hata USA inarudi nyuma kidemokrasia!
Kama yanayotokea America yangetokea kwa mtawala wa Afrika Mashariki mwenyeti wa Tume ya Uchaguzi angekwisha kufa na fatiha yake ingeshamalizika na maelfu wa watu wangeshakuwa mahabusu na kufa.
 
Tatizo sio dikteta tatizo ni chawa, wapambe, kupe wanufaika hili ni kundi lililo nyuma ya dikteta ambao kula yao shibe yao hutegemea uwepo wa dikteta hivyo huhohofia wakimuondoa ataingia mwingine atakuja na system yake hivyo watakosa jinsi ya kwenda chooni.

Hili genge huwa ni invisible haliangalii maslahi ya Jamii hata Kama Jamii inakufa kwa utapiamlo, au kuuliwa maadamu wao wapo jikoni hawapigi kelele maadamu wanashida. Tofauti ya blacks na white hakuna mwafrika anaeweza acha maslahi yake binafsi kwa faida ya jamii thus ni nadra Sana kwa mwafrika kujiuzuru ( kuacha shibe) tofauti na wenzetu.

Wao Jamii kwanza thus wako radhi kuacha maslai binafsi kwa ajili ya Jamii. Mswahili anaponufaika katu hawezi piga kelele. Thus huwezi sikia kina Kange, Musiba, Bashite, Nkamia, nk baada shibe yao kutoweka huwezi wasikia wakiendelea hata kutoa tu clip clip twa kusifu na kuabudu sababu si wanufaika hadi watakapokumbukwa utasikia wakishindana kuimba nyimbo za tenzi za rohoni. Aliyemroga mwafrika alishakufa.
 
Mawazo yapi ambayo wananchi tunaweza sema hawa wanastahili nchi? kufukuza mwanachama kisa anataka kua mwenyekiti? faragha? mikopo? mawazo gan sasa upinzani wanayo zaidi ya kurudisha hawa ngozi white africa?

- Kama ni kuua thats very normal, Tanzania na uganda zilipigana vita kwan waliuliwa wazungu ama waafrika?
Ma- white watarudi maana watu wameanza kulinganisha utawala wa wazungu na utawala wa weusi, na kuonekana hakuna tofauti. Wengine wanasema tena ni afadhali kidogo wazungu.

Hili linawapa urahisi wazungu kurudi kuzitawala tena nchi za Afrika.
 
Hivi kumbe bongo nako ulifanyika uchaguzi !
"nitakuwa waziri mkuu ndani ya Masaa 72 Yajayo" Mr Faru John.

Basi haina budi kuhitimisha kuwa Kama Tanzania hapakuwa na Uchaguzi Basi huyo jamaa aliyesema hayo maneno alikuwa anaota ndoto mbaya Sana.
 
"nitakuwa waziri mkuu ndani ya Masaa 72 Yajayo" Mr Faru John.

Basi haina budi kuhitimisha kuwa Kama Tanzania hapakuwa na Uchaguzi Basi huyo jamaa aliyesema hayo maneno alikuwa anaota ndoto mbaya Sana.
kama bado unadhani Tanzania ulifanyika uchaguzi basi unapaswa kupimwa akili .
 
Hivi wale waliouawa kule Kenya ni kutupwa Ngong hawakuwa watu? Mmeshasahau yaliyotokea Kenya kwenye uchaguzi mpaka watu zaidi ya elfu moja wakafa!!! Halafu unasema I Love Kenya hamia huko hata Lema ameshatangulia na familia yake sijui zile kesi zake zitawekwa kiporo
 
Tatizo sio dikteta tatizo ni chawa, wapambe, kupe wanufaika hili ni kundi lililonyuma ya dikteta ambao kula yao shibe yao utegemea uwepo wa dikteta so uhofia wakimuondoa ataingia mwingine atakuja na system yake hivyo watakosa jinsi ya kwenda chooni hili genge huwa ni invisible haliangalii maslai ya Jamii hata Kama Jamii inakufa kwa utapiamlo, au kuuliwa maadamu wao wapo jikoni awapigi kelele maadamu wanashida. Tofauti ya blacks na white hakuna mwafrika anaeweza acha maslai yake binafsi kwa faida ya jamii thus ni nadra Sana kwa mwafrika kujiuzuru ( kuacha shibe) tofauti na wenzetu wao Jamii kwanza thus wako radhi kuacha maslai binafsi kwa ajili ya Jamii. Mswahili anaponufaika katu hawezi piga kelele. Thus huwezi sikia kina kange, musiba, Bashite, nkamia, nk baada shibe yao kutoweka huwezi wasikia wakiendelea hata kutoa tu clip clip twa kusifu na kuabudu sababu si wanufaika Hadi watakapokumbukwa utasikia wakishindana kuimba nyimbo za tenzi za rohoni. Aliyemroga mwafrika alishakufa
Nimemsikia Prof. Kabudi akiwabwekea wafadhili, eti wasiingilie mambo ya ndani ya nchi. Anasahau kuwa hata kutoa msaada au kuchangia bajeti yetu ni kuingilia mambo yetu ya ndani ya nchi. Hatuwezi kufurahia pesa zao za covid halafu tuchukie wakiingilia mambo yetu ya ndani. Kama unakataa basi kataa vyote tangu mwanzo.

Vikwazo havifanyi kazi Afrika kwakuwa vinaumiza wananchi tu na kuwaacha viongozi, hivyo hakuna kiongozi wa kiafrika anayehofia maisha ya wengi yatakuwaje kama nchi itafungiwa.

Zimbambwe, Iran, N.Korea, Bolivia, nk maisha ya wengi ni shida tupu kwa vikwazo lakini viongozi wanafanya birthday zao za kifahali.
 
Ma- white watarudi maana watu wameanza kulinganisha utawala wa wazungu na utawala wa weusi, na kuonekana hakuna tofauti. Wengine wanasema tena ni afadhali kidogo wazungu.

Hili linawapa urahisi wazungu kurudi kuzitawala tena nchi za Afrika.
Lugha kama hizi za afadhali ya mkoloni zilisikika pia kule Libya, Iraq, Bolivia, Sudan, Zimbabwe, Syria, na kwengineko ambako wazungu walitumia wananchi wenye maoni kama hayo kujipenyeza ndani ya nchi hizo.

Gaddafi aliifanyia mengi sana Libya na walibya lakini aliambulia kile alichoambulia, Syria ni magofu matupu, vurugu zimekula flyovers, Barabara, viwanda, ndege na madaraja na majengo mazurimazuri yote.
 
Nashauri Kenya ijiondoe kwenye jumuiya ya Africa Mashariki
Wakati Kenya ndo hovyooo kabisaa. Siku Kenya ikijitoa EAC aliyehusika kama ni Rais au Waziri Wakenya watamtandika fimbo maana kwa EAC nchi yenye njaa kubwa ni Kenya kutokana na umiliki wa ardhi kumilikiwa na makabaila/Mabwenyenye na Wananchi wa kawaida hawana maeneo.

Kimbilio lao ni Tanzania.
Tanzania ni Mlezi wa Watoto wote wa Afrika Mashariki na kati because it's blessed land
 
Wakati Kenya ndo hovyooo kabisaa. Siku Kenya ikijitoa EAC aliyehusika kama ni Rais au Waziri Wakenya watamtandika fimbo maana kwa EAC nchi yenye njaa kubwa ni Kenya kutokana na umiliki wa ardhi kumilikiwa na makabaila/Mabwenyenye na Wananchi wa kawaida hawana maeneo. Kimbilio lao ni Tanzania.
Tanzania ni Mlezi wa Watoto wote wa Afrika Mashariki na kati because it's blessed land
Unaongelea hawa peasants
 
Kwamba uongozi ni sisi tu, wengine hawafai wataharibu!
 
Wakati Kenya ndo hovyooo kabisaa. Siku Kenya ikijitoa EAC aliyehusika kama ni Rais au Waziri Wakenya watamtandika fimbo maana kwa EAC nchi yenye njaa kubwa ni Kenya kutokana na umiliki wa ardhi kumilikiwa na makabaila/Mabwenyenye na Wananchi wa kawaida hawana maeneo. Kimbilio lao ni Tanzania.
Tanzania ni Mlezi wa Watoto wote wa Afrika Mashariki na kati because it's blessed land
una umri gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom