Afrika Kusini niijuavyo mimi

Kama mgeni anakuja nchini mwako na anatoboa wazawa lazima mtakuwa na matatizo,Tatizo la wasauzi ni ulevi,uvivu, kutokusafiri,na kuamini Waafrika wengine ni masikini.
Hali hii unasema ya wageni kufanikiwa kuliko wenyeji ipo Sana Africa chunguza hata hapa Tanzania unaona ukitoa mikoa michake Kama Kilimanjaro mingine mingi wenyeji huwa hawaendelei kuwashinda wageni
Unajua sababu kubwa ni Nini ?

Sababu kubwa ni ufinyu wa exposure kwa wenyeji, wenyeji Kuna kuwa fursa wanazo/zipo hapo kwao ila hawazioni na Kama wakiziona hawawezi ku-take action Sasa kwa mazingira Kama haya unawezaje kumshinda mgeni maendeleo ?

kwa kua yeye kafika na kiasi anakua na exposure kwa alikotoka na huku anakofika anaona fursa anatumia fursa ni lazima tu ata-win life
Wenyeji kazi zao zinakua kulalamika tu
 
Ina maana huwa wanaongea kiswahili ?

Nje ya mada nina ndugu yangu mmoja huwa namuona amepiga picha kashika pesa nene na bastola mkononi. Huwa nashindwa kumuelewa zile bastola anazitumia kufanya nini
Hawa watu Tuombe MUNGU hayo MAMBO yao wafanyie huko huko! Wakiyaleta huku sijui itakuwaje?!
 
Ok baharia mstaafu tumekupata. (RIP) ndugu zetu
 
pole sana mkuu ila hata huku tunawaona wanapenda bata mnoo wakishapokea pesa ya jin ni kula mziki ijumaa mpaka jumapili myu analewa siku mbili anakunywa tuu aisee
 
na wanaona wapo wana maendeleao sana ila nimekuja kugundua ni wavivu mnoo na wana roho mbaya ila mademu wao wakipenda wanapenda kweli mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
demu atafanya kila kitu wao ni kupakua tuu ndio wanapenda ukiweza hiyo hata kama huna pesa mno atakuvumilia na wana wivu mnoo mnooo hatari
 

Mkuu,sababu ya wabongo wengi kusema wanatokea msumbiji,hasa hasa kwa miaka ya nyuma ni,
Kitambo kile ukirudishwa kutoka nje,ukifika bongo unapandishwa mahakamami,na kama huna mpunga wa kulipa fine unakwenda jela.

Msumbiji na AK,ni karibu sana na gharama za kurudi tena AK ni ndogo sana kufananisha na gharama za kutoka bongo kurudi tena AK,sasa kwa vile wabangu bangu tangu zamani wao wakirudishwa kwao na train wanabwagwa tu Maputo,hakuna cha kesi wala nini,wabongo wakaona hiyo fursa,wanajifanya wao wabangu bangu,wakimwagwa tu Maputo,wanafanya maujanja ujanja flani then wanageuka tena AK
 
"Wanakuroga usifanikiwe"
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™
 
Polisi wanaogopa kwa sababu ya watu kumiliki bunduki, ndio maana police wanaogopa wananchi. Nchi ikishindwa kwy umiliki wa bunduki ndio inakuwaga ivyo. Tanzania sio kwamba watu waoga ili watu kumiliki bunduki hakuna kabisa. Watu wakimiliki bunduki ni kuheshimiana hakuna ambae analeta kudharauriana
 
Umechoma moto Wachina wasiopungua wane waliouliwa huko.....

HUJAELEWEKA HAPA,UNAMAANISHA NINI?AU WIKENDI ILISHAANZA NA KICHWANI ZIMO ZA MOJA BARIDI,MOJA MOTO??Hahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…