ni aibu na u zezeta kabisa kwa karne hii bado unakua msindikizaji huku kila siku ukijisemea "tutafika tuu'............. wenzako wakati wanafika wewe ulikua wapi??Tutafika tu, Hata mbuyu ulikua mchicha
Huu ni mwaka wa ngapi wa Uhuru?ni aibu na u zezeta kabisa kwa karne hii bado unakua msindikizaji huku kila siku ukijisemea "tutafika tuu'............. wenzako wakati wanafika wewe ulikua wapi??
Usilinganishe USA tuanze na South Afrika tuliowasaidia kupata Uhuru wapo wapi. Au Rwanda waliouana 1994 na shirika lao lilivyo na ndege. Kiufupi tumejiroga half tukamwua mgangaHuu ni mwaka wa ngapi wa Uhuru?
Marekani iko huru kwa mda gani sasa?
south africa wamepata uhuru lini?? miaka ya 1996 hukoHuu ni mwaka wa ngapi wa Uhuru?
Marekani iko huru kwa mda gani sasa?
mkuu ile imekufa kifo kibaya sana,,,, nasikia hata ukipiga kiki haistuki chaliiiiiNikajua ile bombadia ya jiwe
Rwanda ni kama nusu ya morogoro.Usilinganishe USA tuanze na South Afrika tuliowasaidia kupata Uhuru wapo wapi. Au Rwanda waliouana 1994 na shirika lao lilivyo na ndege. Kiufupi tumejiroga half tukamwua mganga