Afrika haijatuma msaada wowote Uturuki

Afrika haijatuma msaada wowote Uturuki

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,935
Reaction score
102,690
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.

~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

~ Lebanon imepeleka watu

~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

~ China imepeleka watu (waliojitolea)

~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

~ Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?

Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
 
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu....

Ukraine iko vitani ila inapeleka watu

Lebanon imepeleka watu

India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa

China imepeleka watu ( waliojitolea)

Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa

Urusi imepeleka watu na madawa

Afrika tuna tatizo gani?


Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.

JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Hata Salam za pole hakuna??
 
Back
Top Bottom