HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
~ Lebanon imepeleka watu
~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
~ China imepeleka watu (waliojitolea)
~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
~ Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
~ Lebanon imepeleka watu
~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
~ China imepeleka watu (waliojitolea)
~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
~ Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?

