Africa's 100 top universities 2012

This might be wrong, how about University of Cape Town, the most respectable in Europe. Mhhhhhh!
 
Ile miamba karibia kumi ya South Africa iko wapi?Aisee siyo kweli

Soma hapa 'from source:

Second, we made a determination to create two distinct lists: a) Africa, excluding South Africa, and b) South Africa. If we were not to have made this distinction, our Top 10 List would be dominated by South African universities, and would not be useful to those seeking a pan-African perspective. At the same time, we wish to acknowledge the strength of South Africa's many world-class universities, so we decided to dedicate a list that features just South African institutions.
 
Kwa takwimu hizi ni kwamba UDSM imeshuka,last time niliona UDSM ikiwa imevipita vyuo vya Makerere na Nairobi,lkn pia vyuo vya SA sivioni,hapa tunadanganyana tu.
 
Na mimi nilikuwa najiuliza swali hilohilo! Bado sijaziamini hizi takwimu mpaka nitakapoona vigezo vilivyopimwa.

Mhh...tumevi beat hata vya South Africa?? Wametumia vigezo gani?

Wapi university of cape town, maana kule 'duniani' ndo university wanayoikubali kwa afrika

Ile miamba karibia kumi ya South Africa iko wapi?Aisee siyo kweli

METHODOLOGY
First, as with any similar list that determines which universities are "best," Africa.com collected both quantitative and qualitative data to determine which universities in Africa would make our Top 10 List.

Second, we made a determination to create two distinct lists: a) Africa, excluding South Africa, and b) South Africa. If we were not to have made this distinction, our Top 10 List would be dominated by South African universities, and would not be useful to those seeking a pan-African perspective. At the same time, we wish to acknowledge the strength of South Africa's many world-class universities, so we decided to dedicate a list that features just South African institutions.
 
siyo kweli hakuna kitu kama hicho naona mkuu unaota mchana kweupe
Uk
weli uko wapi? Unaposema kitu sio cha kweli inabidi kwanza uonyeshe uongo halafu wewe utuletee ukweli. Back to the topic kwanza mleta mada kachemka badala ya kuweka kwenye jukwaa la elimu anatuwekea kwenye jukwaa la stress i.e siasa. Mimi kwangu sio kama hizi ranking zinaakisi uhalisia wa maisha na ubora uliopo kwenye vyuo husika. UDSM ya sasa nadhani ina changamoto nyingi sana kuliko ilivyokuwa miaka ya 2000 kurudi nyuma. Pamoja na ujenzi wa miundo mbinu mpya kama vile kumbi za mihadhara, cafeteria, kituo cha wanafunzi na kuwa na idadi kubwa ya wahadhiri wenye sifa i.e wenye shahada za Uzamivu bado kuna changamoto kubwa sana. Wanafunzi wengi wanaotoka UDSM sasa hivi wanatoka patupu...kwa sababu ya staili iliyopo sasa ya madesa. Lecture inayopaswa kuwa ya saa 1 inatumia dakika 45, semina wanafunzi hawapati muda wa kutossha wa kujadiliana na kuelewa vizuri yale wanayofundishwa wakati wa mihadhara...kiufupi...bado tuna safari ndefu
 
Uk
weli uko wapi? Unaposema kitu sio cha kweli inabidi kwanza uonyeshe uongo halafu wewe utuletee ukweli. Back to the topic kwanza mleta mada kachemka badala ya kuweka kwenye jukwaa la elimu anatuwekea kwenye jukwaa la stress i.e siasa. Mimi kwangu sio kama hizi ranking zinaakisi uhalisia wa maisha na ubora uliopo kwenye vyuo husika. UDSM ya sasa nadhani ina changamoto nyingi sana kuliko ilivyokuwa miaka ya 2000 kurudi nyuma. Pamoja na ujenzi wa miundo mbinu mpya kama vile kumbi za mihadhara, cafeteria, kituo cha wanafunzi na kuwa na idadi kubwa ya wahadhiri wenye sifa i.e wenye shahada za Uzamivu bado kuna changamoto kubwa sana. Wanafunzi wengi wanaotoka UDSM sasa hivi wanatoka patupu...kwa sababu ya staili iliyopo sasa ya madesa. Lecture inayopaswa kuwa ya saa 1 inatumia dakika 45, semina wanafunzi hawapati muda wa kutossha wa kujadiliana na kuelewa vizuri yale wanayofundishwa wakati wa mihadhara...kiufupi...bado tuna safari ndefu

Mkuu suala la elimu ni suala mtambuka , limo kwenye siasa na limo kwenye elimu. Kwa maana hiyo basi, kwenye hili jukwaa la siasa pia ni mahala pake na hakuna uchemfu wowote. Matatizo hayawezi kukosekana , haya hivyo vilivyokuwa ranked mwanzoni navyo vina matatizo vile vile.

 
METHODOLOGY
First, as with any similar list that determines which universities are “best,” Africa.com collected both quantitative and qualitative data to determine which universities in Africa would make our Top 10 List.

Second, we made a determination to create two distinct lists: a) Africa, excluding South Africa, and b) South Africa. If we were not to have made this distinction, our Top 10 List would be dominated by South African universities, and would not be useful to those seeking a pan-African perspective. At the same time, we wish to acknowledge the strength of South Africa’s many world-class universities, so we decided to dedicate a list that features just South African institutions.
Sasa imeeleweka...!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mkuu suala la elimu ni suala mtambuka , limo kwenye siasa na limo kwenye elimu. Kwa maana hiyo basi, kwenye hili jukwaa la siasa pia ni mahala pake na hakuna uchemfu wowote. Matatizo hayawezi kukosekana , haya hivyo vilivyokuwa ranked mwanzoni navyo vina matatizo vile vile.


Of course nakubaliana na wewe...matatizo yapo kwa kila Chuo...nilikuwa najaribu pia kutoa changamoto kwamba nbado tuna safari ndefu...Hili la Jukwaa husika nadhani linajijibu lenyewe baada ya mods kuhamishia huku jukwaa la elimu
 
Nafikiri SUA haijatendewa haki ingawa mimi sikusomea hapo lakini najua pale kwa shule malecturer huwa hawacheki na nyau
 
Jamani hacheni kujidanganya,i dont trust this list,kila watu huja na list yao,je ni kweli wanafanya research kabla ya kupublish na kama wangefanya research blv me udsm haistahili kuwa pale,nimesoma pale yani ilikuwa ni aibu tunakutana na watoto wa DIT wako full than us,afu tunajiita eti tuko best university in TANZANIA,Kule UDBS ndo usiseme watu siku za test wanaandaa mabomu usiku kucha,si nimeishi nao HALL 5 ROOM 1327 na HALL 2 ROOM 641,JAMANI UDSM UNALAZIMISHA KUKARIRI YANI U MIGHT NOT KNW THE REASONS BT UMEFANIKIWA KUKARIRI,ufundishaji wenyewe niwa kibabe yani ukiwa na akili kidogo then unadisco cz of hila za walimu jamani wale tunaomkumbuka T.O wa 2006 (ELIAS KIHOMBO) JAMAA ALIONDOLEWA HATUKUAMINI,HATA KAMA NAKULA MSHAHARA NOW COZ OF UDSM BT TRUST ME HAIPO ATA TOP 40 IN AFRICA (Sorry wanaudsm wenzangu mi sipendi UONGO wala SIFA AMBAZO HAZINIFAI NAONA LIST HIZI WANAZITOA JUST COZ YA UZEE WA CHUO NOT OTHERWISE)
HULAZIMISHWI KUKUBALI AU KUKATAAA.NAWASILISHA

Inavyoonyesha hukuwa na bidii ya kujifunza,ulitaka yote ufundishwe darasani wakati kuna Practical Training 3 kwa engineer kila mmoja ina week nane,Wengi wetu tunakiponda UDSM kwa sababu tunataka chuo kiwe sehemu ya spoon feeding education,chuoni wanakupa lecture then inakupa changamoto ya kudadisi mambo library, mtaani na wakati wa PT. Huyo T.O unaemsema nimesoma nae yy akiwa TE mimi EE,Chuo hakikumuondoa bali alijiondoa mwenyewe kwa kulewa sifa na tamaa ya pesa. Iweje mtu alieingia na DIV 2 ya point 12 Mechanical Engineering afaulu masomo yake wewe ulieingia na DIV 1 point 3 ufeli Telecommunication Eng?Hyo inaonyesha ni Uzembe na kutojitambua kwa vijana wengi tunaofikiria kumezeshwa kuliko kutafuta kujifunza.
 
Back
Top Bottom