Africans are "misplaced human beings" in this planet

Africans are "misplaced human beings" in this planet

Hujitambui na wala huielewi dunia.Umekuwa braiwashed kiasi cha kujiona duni.Mission accomplished.Jamaa hawa wabaya sana.
Tukubali tukate,hii ni kazi ya nature na hakuna wa kuibadili.
 
Jibu la maswali yote lipo kwenye Biblia kitabu cha Mwanzo sura 9. Nabii Nuhu alisema blessed be the chidren of Shem and chidren of Japhet. Caanan will be their servants.

Yule mtoto aliyemcheka baba yake akiitwa Ham huyo ndiye baba wa caanan. Na Caanan ndiye baba wa Africa. Hivyo sisi waafrica tuna laana. Na laana haijivunji yenyewe ni mpaka ivunjwe. Hutuja vunja laana hiyo.

Ndiyo maana mataifa mengi walipokuja Afrika walitukuta hatuvai nguo bali magome ya miti. Wakati wao tayari walisha gundua nguo za mm ani sana na sasa wslikuwa kwenye kuinua uchumi.

Ndiyo maana hakuna taifa hata moja Afrika lilichomoza kwenda kutawala ulaya au mashariki ya mbali.

Sisi ni Kanumba. Ni mtoto aliyedumaa. Ni mpaka tusali na kuvunja hii laana
 
Jibu la maswali yote lipo kwenye Biblia kitabu cha Mwanzo sura 9. Nabii Nuhu alisema blessed be the chidren of Shem and chidren of Japhet. Caanan will be their servants.

Yule mtoto aliyemcheka baba yake akiitwa Ham huyo ndiye baba wa caanan. Na Caanan ndiye baba wa Africa. Hivyo sisi waafrica tuna laana. Na laana haijivunji yenyewe ni mpaka ivunjwe. Hutuja vunja laana hiyo.

Ndiyo maana mataifa mengi walipokuja Afrika walitukuta hatuvai nguo bali magome ya miti. Wakati wao tayari walisha gundua nguo za mm ani sana na sasa wslikuwa kwenye kuinua uchumi.

Ndiyo maana hakuna taifa hata moja Afrika lilichomoza kwenda kutawala ulaya au mashariki ya mbali.

Sisi ni Kanumba. Ni mtoto aliyedumaa. Ni mpaka tusali na kuvunja hii laana
Ahsante sana.Haya ni maneno ambayo wengi hawapendi kuyasikia wala kuyakubali.Ni ukweli mchungu kwa sisi watu weusi.
 
Waafrika tuna mtihani mkubwa sana kujinasua kwenye mkenge tulioingizwa na wakoloni. Ila wanozidi kutuangamiza zaidi ni viongozi na wanasiasa wanaotanguliza tamaa za madaraka kuliko uzalendo ke=wa nchi zao. Hujuma nyingi zinafanywa na Wakoloni waliotutawala na kupitia wakoloni weusi. Kubalisha maisha kunahitaji alili nyingi sana lakini leo hii Afrika hakuna wenye akili isipokuwa wanasiasa/watawala. Ila tusikate tamaa, ipo siku akili itatumika.
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Nicodemas Tambo Mwikozi pitia na hii mada itakusaidia kujua na wewe uko kundi gani miongoni mwa vichaa hasa kama wewe binafsi hauhusiki.
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Watu wenye akili pana huwaza nje ya boksi , asante sana mkuu . Naweza kutamka kwamba mali asili hazikuumbwa kwa ajili ya waafrika na ndio maana viongozi wanaweza kuamuru sisi ngedere weusi tufukiwe kwenye machimbo ili kupisha wawekezaji , kama ilivyotokea Bulyankhulu .
 
Watu wenye akili pana huwaza nje ya boksi , asante sana mkuu . Naweza kutamka kwamba mali asili hazikuumbwa kwa ajiliya waafrika na ndio maana viongozi wanaweza kuamuru sisi ngedere weusi tufukie kwenye machimbo ili kupisha wawekezaji , kama ilivyotokea Bulyankhulu .
Nashangaa huyu mtu anaitwa Nicodemas kaanzisha mada na kutuchukilia wana UKAWA wote ni vichaa wakati IQ alionayo haimwezishi hata kumudu mazingira yake bila msaada wa watu kutoka mabara mengine

Kama ni swala la IQ ndogo tuanzie kwenye uwezo wetu sisi Waafrika kumudu mazingira tunayoishi.
 
Yoote unayosema hatukuwa nayo yalikuwepo kabla wageni hawajaja. Kuanzia teknolojia hadi madawa vilikuwepo na bado vipo.

Walipojuja walitukuta tukifuga na kulima. Tukijitibu na kujilisha.

Tulilazikishwa kuacha mifumo yetu ya maisha na kufuata yabkwai ili tuwe TEGEMEZI.

Hebu kasome tena historia.
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Kitu kimoja ambacho lazima ukifahamu vizuri ni kwamba Waafrika weusi tumegawanyika kwenye makundi mawili.

Kundi la kwanza asili yao ni nyani wewe ni mmoja wapo.

Kundi la pili ni uzao wa Adam na Hawa/Eva humo mimi nipo, Nyerere yupo, Mandela yupo, Kwame Nkhruma yupo and likes.

Unapoongelea kwamba Waafrika hakuna tunaloliweza unashangaza sana hebu tuletee Mzungu atuchongee kinyago cha mmakonde kwanza ndio utaelewa nasema nini.

Pia hao wazungu unaodhani wana teknolojia walete Tanzania watujengee pyramid kama zile za kule Giza Egypt tutawalipa pesa yoyote waitakayo.

Cha mwisho kwa kukusaidia ufunguke akili tatizo la Waafrika ni maandishi hakuna maandishi yalioyoachwa na babu zetu historia nyingi ya Muafrika wameandika wazungu ndio maana hata mtu kama wewe uliyotokana na nyani umekuwa confused.

Wazee wetu wa zamani ni well talented, wala hawakuhitaji kuvaa saa kujuwa wakati, tangu asubuhi juwa linatoka mpaka linazama wanajuwa ni saa ngapi, tangu mbalamwezi inatoka hadi kunakuchwa hata umkurupushe usingizini nane usiku ukimuuliza saa yeye akiangalia mbalamwezi anakujibu.

Loading......
 
Back
Top Bottom