African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Ninayo Decorder ya Open View mpya , kuna yeyote hapa anayejua namna ya ku iactivate akiwa East Africa??
 
New Ugandan package on 18W Ku. Receivable in EA?
ugkyu.jpg
 
Is starsato ex still rolling Jeshi?
Which software is doing the magic?
 
marafiki habari?
naomba kuuliza
Je nawezaje kupata receivers zenye zile channels za SONY HD na Bein sports HD

Lengo ni kuachana na dstv kabisa
Karibu katika jukwaa, jitahidi kuisoma thread hii page after page utajifunza mambo mengi maana watu wamekuwa wakiuliza maswali na kujibiwa.
Kabla ya kushauri ni vema kufahamu kama una uzoefu katika kufunga ma dish ya tv au huwa unatumia mafundi?
Pili jitahidi kutumia tafsida katika kutaja majina mfano kuchanganya alama au namba ili yasomeke S@ny, Be1n sp*rt ili kuepuka wahusika kuzidi kufungia hizo vitu zao ( kiufupi kinacho fanywa na hizo decoda unazo hitaji hakina uhalali 100%)
 
Wale wanaopanga kujimwaya katika ulimwengu wa FTA. Hiki kitabu kipatikanacho katika duka la wavuti la Amazon kitakua cha manufaa ila tu kimechapishwa kwa lugha ya kimombo...

fta.jpg
 
Ahsante sana Bennick
oh samahanini kwa kutochanganya alama na namba ktk majina!

Binafsi sina uzoefu huo na huwa natumia mafundi ktk kufunga madish
Kama hujawahi kabisa kufunga dishi kwa mikono yako ,Unahitaji kupitia huu uzi taratibu ili ujifunze mambo mbalimbali yanayo husiana na ulimwengu wa sattelite, kama Skew, Elevation, Azimuth, aina mbalimbali za Low Noise Block Converters (LNB) na performance zake , Beam and coverage za satellites mbalimbali, aina za satellite dishes na ukubwa wake nk. Vyote hivi vimo ndani ya huu uzi.
Sina uhakika kuhusu location yako ila kama upo TZ, ili ufaidi chaneli za S@Ny hD kwa mfano unahitaji dishi kubwa la kuanzi futi 6 hadi nane maana hizi zinapatikana kwa c band kwenye nyuzi 66£ast na 68.5£ast. utaelekezea dishi lako kule tunakopata local channels na utahitaji kingamuzi kama vitakavyo ainishwa hapo chini vyenye uwezo wa kufungu chane1 zilizofungwa.
Kuhusiana na Be1n sina uhakika kama kuna dikoda ina uwezo wa kufungua zile vitu isipokuwa kuna kitu kinaitwa Cccam jaribu ku search vizuri mtandaoni utaelewa kinavo fanya kazi. Lakini pia satellite nyingi zinazorusha masafa ya Be1n zimelenga mashariki ya kati na Afrika kaskazini, kwa wenzetu kenya wanazipata kwa urahisi kwa beam ya MENA (Middle East and North Africa) ila kwa bongo nadhani utahitaji dish kubwa sana ili kupata MENA beam kama utabahatika. Unless unapatikana Northern/Eastern TZ.
Nawasilisha.
Screenshot_2019-05-30-17-35-49-993_com.android.browser.jpg
Screenshot_2019-05-30-17-34-23-429_com.android.browser.jpg
Screenshot_2019-05-30-17-40-41-702_com.android.browser.jpg
Screenshot_2019-05-30-17-40-00-835_com.android.browser.jpg
 
Kama hujawahi kabisa kufunga dishi kwa mikono yako ,Unahitaji kupitia huu uzi taratibu ili ujifunze mambo mbalimbali yanayo husiana na ulimwengu wa sattelite, kama Skew, Elevation, Azimuth, aina mbalimbali za Low Noise Block Converters (LNB) na performance zake , Beam and coverage za satellites mbalimbali, aina za satellite dishes na ukubwa wake nk. Vyote hivi vimo ndani ya huu uzi.
Sina uhakika kuhusu location yako ila kama upo TZ, ili ufaidi chaneli za S@Ny hD kwa mfano unahitaji dishi kubwa la kuanzi futi 6 hadi nane maana hizi zinapatikana kwa c band kwenye nyuzi 66£ast na 68.5£ast. utaelekezea dishi lako kule tunakopata local channels na utahitaji kingamuzi kama vitakavyo ainishwa hapo chini vyenye uwezo wa kufungu chane1 zilizofungwa.
Kuhusiana na Be1n sina uhakika kama kuna dikoda ina uwezo wa kufungua zile vitu isipokuwa kuna kitu kinaitwa Cccam jaribu ku search vizuri mtandaoni utaelewa kinavo fanya kazi. Lakini pia satellite nyingi zinazorusha masafa ya Be1n zimelenga mashariki ya kati na Afrika kaskazini, kwa wenzetu kenya wanazipata kwa urahisi kwa beam ya MENA (Middle East and North Africa) ila kwa bongo nadhani utahitaji dish kubwa sana ili kupata MENA beam kama utabahatika. Unless unapatikana Northern/Eastern TZ.
Nawasilisha.View attachment 1112334View attachment 1112335View attachment 1112336View attachment 1112337

Bennick Ahsante sana nashukuru mno
ngoja nianze kuusoma huu uzi kuanzia mwanzo
naamini nitapata vingi humu

Kiukweli sijawahi kufunga dish japo nina ideas za uelekeo
coz kuna sehemu ninayo ya kuoneshea mipira
hivyo najua d$**v ama @žæm na mengineyo

nipo Tarime, ni kweli last time nimeenda Nairobi niliona hizo mambo za beįñ hd zipo kibao
nina dish la futi 6 na haya madogo pia

hivyo vingamuzi sasa ndiyo sina uhakika pa kuvipata ila kwa sasa nipo Monduli
Je kuna namna ya kuvipata?
 
Frank Gotora Kwa TZ ukipata nafasi ya kwenda Dar niliambiwa Kariakoo mtaa wa Msimbazi kuna maduka ya vifaa vya madishi utapata pale, au unaweza kuagiza kwenye mitandao kama AliExpress, eBay n.k kwa njia ya posta mzigo ukakufikia.
Pia kuna mwana jukwaa anaitwa GIDEN hapa naona huwa anauza hizo vitu unaweza wasiliana naye pm
Dikoda nzuri ni {Strong@,Freesat@, au Gsky/Skysat} na zina matoleo mbalimbali jaribu kuzi search hizo mtandaoni ufahamu bei zake na functionality
 
Kama hujawahi kabisa kufunga dishi kwa mikono yako ,Unahitaji kupitia huu uzi taratibu ili ujifunze mambo mbalimbali yanayo husiana na ulimwengu wa sattelite, kama Skew, Elevation, Azimuth, aina mbalimbali za Low Noise Block Converters (LNB) na performance zake , Beam and coverage za satellites mbalimbali, aina za satellite dishes na ukubwa wake nk. Vyote hivi vimo ndani ya huu uzi.
Sina uhakika kuhusu location yako ila kama upo TZ, ili ufaidi chaneli za S@Ny hD kwa mfano unahitaji dishi kubwa la kuanzi futi 6 hadi nane maana hizi zinapatikana kwa c band kwenye nyuzi 66£ast na 68.5£ast. utaelekezea dishi lako kule tunakopata local channels na utahitaji kingamuzi kama vitakavyo ainishwa hapo chini vyenye uwezo wa kufungu chane1 zilizofungwa.
Kuhusiana na Be1n sina uhakika kama kuna dikoda ina uwezo wa kufungua zile vitu isipokuwa kuna kitu kinaitwa Cccam jaribu ku search vizuri mtandaoni utaelewa kinavo fanya kazi. Lakini pia satellite nyingi zinazorusha masafa ya Be1n zimelenga mashariki ya kati na Afrika kaskazini, kwa wenzetu kenya wanazipata kwa urahisi kwa beam ya MENA (Middle East and North Africa) ila kwa bongo nadhani utahitaji dish kubwa sana ili kupata MENA beam kama utabahatika. Unless unapatikana Northern/Eastern TZ.
Nawasilisha.View attachment 1112334View attachment 1112335View attachment 1112336View attachment 1112337
bei ya starsat????na wapi naweza ipata?
 
Back
Top Bottom