drifter#
Member
- Jan 2, 2016
- 29
- 72
mkuu mi sishangai...
Ukiangalia hizo nchi nyingi(za ulaya na america) hazikuibuka tu kwa cku 1 kuwa matajiri
Ukiangalia hizo nchi zimeanza kusaka maendeleo tangu mwishoni mwa karne ya karne ya 15...kipindi hicho ndicho uingereza ina anza mapinduzi ya kilimo(agrarian revolution) na baadae baada ya uhuru wakawa tayari wamefanya mapinduzi ya viwanda(industrial revolution)
Hapo ni kwa bi mkubwa Elizabeth pale uingereza.
Ukiangalia kwa umakini utaona bwana mapesa(Bilgate) alichosema ni cha kweli kabisa mkuu kwamba baada ya miaka 500 ndo tunaweza kufika level walipo wao!
Ukiangalia hizo nchi nyingi(za ulaya na america) hazikuibuka tu kwa cku 1 kuwa matajiri
Ukiangalia hizo nchi zimeanza kusaka maendeleo tangu mwishoni mwa karne ya karne ya 15...kipindi hicho ndicho uingereza ina anza mapinduzi ya kilimo(agrarian revolution) na baadae baada ya uhuru wakawa tayari wamefanya mapinduzi ya viwanda(industrial revolution)
Hapo ni kwa bi mkubwa Elizabeth pale uingereza.
Ukiangalia kwa umakini utaona bwana mapesa(Bilgate) alichosema ni cha kweli kabisa mkuu kwamba baada ya miaka 500 ndo tunaweza kufika level walipo wao!