matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Habari nilizozipata punde ni kwamba Yule afisa uhamiaji aliyekoswa koswa na kijana wa marehemu Barlow kwa risasi, usiku wa kuamkia leo alishambuliwa na watu wasiokulikana na kupigwa nondo kichwani.
Afisa huyo kwa sasa amelazwa ktk hosp ya Bugando na Hali yake si nzuri sana.
Ikimbukwe kwamba juzi baada ya kunisurika kuuawa alimtupia lawama afisa wa polisi Abuu kuhusika na mipango Ya kumwua kutokana na kuwa na mahusiano yasiyofaa na mke wake hali iliyopelekea kuwa na Kesi ya kutalakiana.
Lakini pia ikumbukwe kwamba baada ya kulituhumu jeshi La polisi, kamanda Barlow Alipinga na kukanusha tuhuma hizo kwa nguvu zote akidai kuwa aliingia kwenye mtego wa Polisi muda ule ule na gari lile.
Kamanda Barlow aliuawa jana majambazi kwa kupigwa risasi alipokuwa akimrudisha nyumbani dada yake wakitokea kwenye kikao cha harusi Kati ya saa saba na saa nane usiku.
Nitawajuza zaidi.
Afisa huyo kwa sasa amelazwa ktk hosp ya Bugando na Hali yake si nzuri sana.
Ikimbukwe kwamba juzi baada ya kunisurika kuuawa alimtupia lawama afisa wa polisi Abuu kuhusika na mipango Ya kumwua kutokana na kuwa na mahusiano yasiyofaa na mke wake hali iliyopelekea kuwa na Kesi ya kutalakiana.
Lakini pia ikumbukwe kwamba baada ya kulituhumu jeshi La polisi, kamanda Barlow Alipinga na kukanusha tuhuma hizo kwa nguvu zote akidai kuwa aliingia kwenye mtego wa Polisi muda ule ule na gari lile.
Kamanda Barlow aliuawa jana majambazi kwa kupigwa risasi alipokuwa akimrudisha nyumbani dada yake wakitokea kwenye kikao cha harusi Kati ya saa saba na saa nane usiku.
Nitawajuza zaidi.