5 Nyingi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2023
- 247
- 594
Hivi majuzi watangazaji wa TBC 1 walisikika wakilalamika kuhujumiwa na mtu ambaye hawamfahamu aliyeamua kupunguza ubora wa picha kipindi matangazo ya AFCON yanaendelea.
Leo TBC1 Haipo hewani kwenye kisimbuzi cha Azam. Azam wamesema tatizo liko upande wa TBC1.
Ikumbukwe kuwa TBC 1 wanaonesha michuano ya AFCON bure na Azam TV wanaonesha michuano hiyo kupitia Azam 3 iliyo katika kifurushi cha 25,000/=.
Wasomi wa Cuba hii mnaonaje?
UPDATES:
TBC IMEREJEA, WACHA TUMWONE DIARA NA AZIZ KI. KESHO TUONE STARS WAKIDUFULIWA TENA.
Leo TBC1 Haipo hewani kwenye kisimbuzi cha Azam. Azam wamesema tatizo liko upande wa TBC1.
Ikumbukwe kuwa TBC 1 wanaonesha michuano ya AFCON bure na Azam TV wanaonesha michuano hiyo kupitia Azam 3 iliyo katika kifurushi cha 25,000/=.
Wasomi wa Cuba hii mnaonaje?
UPDATES:
TBC IMEREJEA, WACHA TUMWONE DIARA NA AZIZ KI. KESHO TUONE STARS WAKIDUFULIWA TENA.