Hawa waliopo ZUKU ni habari za michezo 24 hrs.EUROSPORT nazo ziko nyingi.....Labda wasiliana na customer care wako kama inawezekana, ila kwa ulaya mechi ni live katika EUROSPORT
South sijui vipi..!Dakika ya 75, score board 0-0
South sijui vipi..!
ZUKU hawaonyeshi, wanayo inaitwa Eurosports News.
shukrani sana mkuu nimecheki gemu safi bila chenga..
Sie tulishafika hadi game linakaribia kuisha hujatokea... au umesinzia kwenye keyboard yako?Tukutane saa 3.30 kwa mechi ya pili: Angola Vs Morocco
Samahani wadau....nitajitahi leo kuwa macho kwa mechi zote mbili. Basi tukutane kwa mechi ya kwanza leo hapo saa 17.45Sie tulishafika hadi game linakaribia kuisha hujatokea... au umesinzia kwenye keyboard yako?