AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

duu huyu kapteni wa south sijui kachezea yanga maana hizo ni karate..
 
ZUKU hawaonyeshi, wanayo inaitwa Eurosports News.

Eurosports News ni kwa ajili ya habari za michezo tuu na siyo live matches.

I'm sure Eurosport International itakuwa inaonyesha.
 
SA wabovu, halafu motivation hamna. Wanaweza tena kuweka recodi ya kutolewa round ya 1 kwente afcon (record waliyoweka pia kwenye WC)
 
Mechi ya pili vipi wakuu.....Hakuna anayetazama??
 
Back
Top Bottom