saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 100
Matokeo ya jana
1. South africa vs cape verde, 0-0
2. Angola vs morocco, 0-0
1. South africa vs cape verde, 0-0
2. Angola vs morocco, 0-0
Matokeo ya jana
1. South africa vs cape verde, 0-0
2. Angola vs morocco, 0-0
Mashindano haya yalibadilishwa ili isije ikatokea inakuta mwaka mmoja na kombe la dunia!Ndg zangu mimi cjaelewa haya mashindano yanafanyika baada ya miaka mingapi.? Mwaka jana 2012 cyalifanyika kwa ubia kati ya mali na equteria guine na bingwa akawa Zambia.! Na huko nyuma yalikuwa yakifanyika baada ya miaka miwili? Haya mabadiliko yamesababishwa na nini? Michuano hii kwa sasa itakuwa inafanyika baada ya miaka miaka mingapi? Nijuzeni wadau.
Mechi imeanza au bado?Hapa nilipo naangalia mpambano wa chelsea vs arsenal,ila kuna scren ingine inaonyesha Afcon. Sasa ni uchambuzi namwona Samwel Kufour na wachambuzi wengine. Mechi ni kati ya Ghana vs Congo (DRC)...,
Samahani wadau....nitajitahi leo kuwa macho kwa mechi zote mbili. Basi tukutane kwa mechi ya kwanza leo hapo saa 17.45
Nipo mkuu...Haupo Tena na Game hapa ndio linataka kuanza DRC vs Ghana
Usipende kuomba omba Mshamaha hata Ukikosea Au Hujajifunza Kutoka kwa CCM?
Aaaah! Tanesco wamekata umeme. Unafanyika mpango wa generetor.