AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

Ile presha presha waliyopiga siku walipocheza na Ghana leo haipo Zanta
 
Last edited by a moderator:
Zanta pole mkuu..naona Brukinabe wameshindwa kutuonyesha cheche.

Big up to Naija boys!!
 
Last edited by a moderator:
Zanta pole mkuu..naona Brukinabe wameshindwa kutuonyesha cheche.

Big up to Naija boys!!

Thanks Mamiee aah leo hawajacheza kama nusu fainali hongera zao lakini wameweka historia ya kuingia fainali kwa mara ya kwanza
 
Thanks Mamiee aah leo hawajacheza kama nusu fainali hongera zao lakini wameweka historia ya kuingia fainali kwa mara ya kwanza

Yeah, for sure leo wamepelekwa kweli na wazee wa fufu...angalau wameweka historia!!
 
Eti wewe mshabiki wa arsenal halafu unajiongezea presha kwa kushabikia burkina faso!poleni sana
 
Naona CAF wananipoza kidogo, Patroipa...is the man of the tournament ! Congrats Patroipa!!
 
Usiku mwema wapendwa..ilikuwa season nzuri ya AFCON, till then!! muwe na wiki njema ktk ujenzi wa taifa..kesho agrrrrr siipendi!!

382246_372054642893306_587463773_n.jpg
 
Back
Top Bottom