vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 87
Leo ktk kipindi cha tuongee magazetini asbh kinachorushwa na radio free kimeeleza kuwa kijana mmoja adhangazwa baada ya kutangazwa na kuwemo ktk orodha ya wanafunzi waliofaulu ktk mtihani wa darasa la saba wakati hajafanya mtihani huo baada ya kusimamishwa shule kwa kushindwa kulipa ada,jamani kuna nini tz yetu??je tuamini kuwa ni kweli ufaulu umezidi mwaka huu au ndio geresha la kuwafurahisha wananchi??jiulize wangapi ambao hawajajitokeza ambao nao wamefaulu bila kufanya mtihani???? Tafakari chukuwa hatua...