For sure🔥.Hizi zote baraka.
Kuna wengine wanakesha nyumba za ibada wakiomba waonje morning sickness na majukumu yanayo fuatia 😄
😆, babe usije ukaniua kwa love bite, naogopa ujue.Love bite hiyo papi 😅
Ndiyo. Kanisani kwangu huwa nawaambia watu wanaopenda a huwa hawang'atani, hivyo nikiona haka ka-love bite kunoko shingo ya muumini basi namtoa kanisani na hata kumsimamisha kushiriki Misa.Lakini,ukitafsiri neno "LOVE-BITE" kwa kiswahili cha hapa na pale ni "kung'ata kwa upendo/huba"!Au siyo?
Usiogope mimi ni wako mpaka kuzimu😁😆, babe usije ukaniua kwa love bite, naogopa ujue.
Ila hamkomi 😭Dah! Matukio ya wanaume kufariki wakati wa kimasihara yameshamiri sana hivi karibuni.