cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,151
- 190,157
Kuna wengine hisia zao zipo shingoni😀😀😀ukiikalia kwa juu halafu ukimlalia kifuani na kumkiss kiss shingoni anamwaga hadi dhambi na anapiga nduru kabisa.
😂😂😂😂
Kuna wengine hisia zao zipo shingoni😀😀😀ukiikalia kwa juu halafu ukimlalia kifuani na kumkiss kiss shingoni anamwaga hadi dhambi na anapiga nduru kabisa.
Mapenzi mbaya mapenzi mabaya mapenzi mabaya.Kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka Mexico City, Mexico, ameripotiwa kufariki baada ya kupata kile kinachojulikana kama love bite au hickey shingoni kutoka kwa mpenzi wake.
Kwa mujibu wa taarifa, nguvu ya kunyonya kwenye ngozi ya shingo inadaiwa kusababisha damu kuganda ndani ya mshipa, na baadaye damu hiyo iliyoganda kusafiri hadi kwenye ubongo na kusababisha kiharusi kikubwa.
Inadaiwa kuwa kijana huyo alianza kupata degedege akiwa mezani na familia yake, kisha akapoteza fahamu. Wahudumu wa dharura walijaribu kumuokoa lakini hawakufanikiwa.
Madaktari wanaeleza kuwa eneo la shingo lina mishipa muhimu ya damu, hivyo majeraha makali au shinikizo lisilo la kawaida yanaweza, katika visa vya nadra sana, kuharibu mshipa au kuchochea kuganda kwa damu.
HapanaUmechanganya id au?
Huwa sinyonyi mtu mimiHapana
Ndio maana nikasema siku ukifanya hivyo wajiandae kunizikaHuwa sinyonyi mtu mimi
Watu hamuoshi shingo, akhuu!Ndio maana nikasema siku ukifanya hivyo wajiandae kunizika
Yangu naosha alafu naipaka asaliWatu hamuoshi shingo, akhuu!
Duhh na wanavyofanyia sifa siku hizi ili aonekane hakuwa mdhaifu kwenye mechi😁Kunyonya shingo ni hatari sana,kuna Carotid artery inayopeleka damu nyingi kwenye ubongo ,upande wa kulia na kushoto wa shingo ,sasa love bite inasababisha blood clot( Damu kuganda)na hii inapunguza usambazaji wa damu kwenye ubongo . Mwisho mtu anapata Ischaemic Stroke .
Labda uibandike minotiYangu naosha alafu naipaka asali
Ha ha haaa 🤣🤣Na wengine wananyonya utadhani ni ma vampire😌
Mtoto mdogo miaka 17 anakimbilia mapenzi! mwana kulitafuta mwana kulipataKijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka Mexico City, Mexico, ameripotiwa kufariki baada ya kupata kile kinachojulikana kama love bite au hickey shingoni kutoka kwa mpenzi wake.
Kwa mujibu wa taarifa, nguvu ya kunyonya kwenye ngozi ya shingo inadaiwa kusababisha damu kuganda ndani ya mshipa, na baadaye damu hiyo iliyoganda kusafiri hadi kwenye ubongo na kusababisha kiharusi kikubwa.
Inadaiwa kuwa kijana huyo alianza kupata degedege akiwa mezani na familia yake, kisha akapoteza fahamu. Wahudumu wa dharura walijaribu kumuokoa lakini hawakufanikiwa.
Madaktari wanaeleza kuwa eneo la shingo lina mishipa muhimu ya damu, hivyo majeraha makali au shinikizo lisilo la kawaida yanaweza, katika visa vya nadra sana, kuharibu mshipa au kuchochea kuganda kwa damu.
Mautamu utamu hahaaa... vijana wamezidi mno kuleta uvumbuzi kwenye vitu simpo na vinavyojiongoza vyenyewe, mara wengine wawakabe wenza wao kiasi cha kutaka hata kuwaua eti wanaongeza 'MAUTAMU'!
UJINGA MZIGO!
Vipo hivi kila siku...VIJIMAMBO ..Vijimambo..
Lakini,ukitafsiri neno "LOVE-BITE" kwa kiswahili cha hapa na pale ni "kung'ata kwa upendo/huba"!Au siyo?Waseme tu alimng'ata. Wasipumguze ukali wa maneno.
CC: all UDSM chicks.Kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka Mexico City, Mexico, ameripotiwa kufariki baada ya kupata kile kinachojulikana kama love bite au hickey shingoni kutoka kwa mpenzi wake.
Kwa mujibu wa taarifa, nguvu ya kunyonya kwenye ngozi ya shingo inadaiwa kusababisha damu kuganda ndani ya mshipa, na baadaye damu hiyo iliyoganda kusafiri hadi kwenye ubongo na kusababisha kiharusi kikubwa.
Inadaiwa kuwa kijana huyo alianza kupata degedege akiwa mezani na familia yake, kisha akapoteza fahamu. Wahudumu wa dharura walijaribu kumuokoa lakini hawakufanikiwa.
Madaktari wanaeleza kuwa eneo la shingo lina mishipa muhimu ya damu, hivyo majeraha makali au shinikizo lisilo la kawaida yanaweza, katika visa vya nadra sana, kuharibu mshipa au kuchochea kuganda kwa damu.