Afariki baada ya mpenzi wake kumnyonya shingoni

Afariki baada ya mpenzi wake kumnyonya shingoni

Hii habari ya kunyonyana maeneo fulani fulani wakati wa kubanjuana yapasa kuwa nayo makini sana. Ashawahi kunyonywa punani mama mmoja ile sexual excitement aliyoipata almanusra akate moto mamamammaaaaaaae!!
 
Kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka Mexico City, Mexico, ameripotiwa kufariki baada ya kupata kile kinachojulikana kama love bite au hickey shingoni kutoka kwa mpenzi wake.

Kwa mujibu wa taarifa, nguvu ya kunyonya kwenye ngozi ya shingo inadaiwa kusababisha damu kuganda ndani ya mshipa, na baadaye damu hiyo iliyoganda kusafiri hadi kwenye ubongo na kusababisha kiharusi kikubwa.

Inadaiwa kuwa kijana huyo alianza kupata degedege akiwa mezani na familia yake, kisha akapoteza fahamu. Wahudumu wa dharura walijaribu kumuokoa lakini hawakufanikiwa.

Madaktari wanaeleza kuwa eneo la shingo lina mishipa muhimu ya damu, hivyo majeraha makali au shinikizo lisilo la kawaida yanaweza, katika visa vya nadra sana, kuharibu mshipa au kuchochea kuganda kwa damu.

Huyo hakuwa binadamu, ni demon pazuuzu!
 
Dah habari za love bite zimenikumbusha ujanani. Nimeenda kutambulishwa ukweni kumbe dame ana alama shingoni.
Mamkwe akamwita taratibu akamwambia 'mwambie mkwe aache manjonjo' huku amemshika kwenye shingo. Basi Binti akaangua kicheko.
Baadae akajaniambia alichoambiwa na mama ake.
 
Ha ha haaa 🤣🤣
Habari za siku mkuu?
Umepotea sana jukwaani.
Nipo poa mkuu ,
Nje ya hii digital world maisha yanatutembeza sana😀😀 Majukumu na hustle za huku uraiani zimenihold hostage kidogo, so muda wa ku-socialize mtandaoni umekuwa wa kuomba. But ground bado nipo solid.

Upo good?
 
Nipo poa mkuu ,
Nje ya hii digital world maisha yanatutembeza sana😀😀 Majukumu na hustle za huku uraiani zimenihold hostage kidogo, so muda wa ku-socialize mtandaoni umekuwa wa kuomba. But ground bado nipo solid.

Upo good?
Nipo good kabisa.
Hustle za mtaani ndiyo muhimu zaidi.
Humu ukijisahau sana muda wako wa kusaka pesa unapotea bure.
 
Nipo good kabisa.
Hustle za mtaani ndiyo muhimu zaidi.
Humu ukijisahau sana muda wako wa kusaka pesa unapotea bure.
Vizuri upo poa.

Mchana kutwa mchaka mchaka, bado ukirudi nyumbani mchaka mchaka😀😀mara huyu mama nibebe mara huyu analilia simu mara huku uhangaike na homework, mara morning sickness(😀😀😀😀) aiiii ukubwa dawa.
 
Vizuri upo poa.

Mchana kutwa mchaka mchaka, bado ukirudi nyumbani mchaka mchaka😀😀mara huyu mama nibebe mara huyu analilia simu mara huku uhangaike na homework, mara morning sickness(😀😀😀😀) aiiii ukubwa dawa.
Hizi zote baraka.
Kuna wengine wanakesha nyumba za ibada wakiomba waonje morning sickness na majukumu yanayo fuatia 😄
 
Kuna wengine hisia zao zipo shingoni😀😀😀ukiikalia kwa juu halafu ukimlalia kifuani na kumkiss kiss shingoni anamwaga hadi dhambi na anapiga nduru kabisa.
Dah nilikuwa naye mmoja wa namna hii nilikuwa namkojoza kama vile hakuna kesho! Kuna wanawake ni wepesi kuwaf*ck hadi raha
 
Back
Top Bottom