Afanya mapenzi na nguruwe

Afanya mapenzi na nguruwe

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?
 
Ufyetele!!!!! hahaha nalikumbuka sana hili neno nililiskia toka kwenye redio hio hio kuuliza wenyeji wangu ndio nikaambiwa maana yake ni Umbea, so hii redio imekaa kiumbea umbea flani hivi
 
Kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?

Sidhani kama alikuwa akifanya mapenzi na Nguruwe! labda alikuwa akimlazimisha Nguruwe kufanya nae mapenzi.
 
Hilo dubwana linavyonuka mtu uinashawishikaje kulidandia?
Majitu mengine bwana ndo mana magonjwqa ya hovyohovyo hayaishi kwakweli

kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?
 
Kukosa ubinadamu, wadada mbona wapo wengi siku hizi, tena wala huchukui gharama kuimbisha nyimbo. may be kaongopewa na kalumanzila.:angry:
 
looo!!.....nguruwe huyu huyu nnaemjua au....
 
lord have mercy! sio udesi kweli huu??? (udesi-uongo kihehe).
 
Huyu lazima atakuwa mgalatia manake sisi hata kumgusa haramu
 
Mh! Mi najua mapenzi lazima kuwe na makubaliano. Mods badilisheni title muweke ambaka nguruwe!
 
si mnasemaga huyo mdudu ni mtamu jamaa ameenda mbele zaidi kwenye utamu mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom