Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Duuuuuuu Jf hakuna think tank hawa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) wamesahau ujumbe mzito wa viongozi wakuu wa Chadema ulitoka Dar kwenda kumpa kadi Afande Sele? Leo hii mnamtukana? Ama kweli vichaa mmeundiwa baraza lenu. Hata mwaka haujaisha mmeishasahau. Mhhhhhh Tz ni sheeeeedah
Tutajie hao viongozi wakubwa wa cdm walio enda kumpa kadi,wacha kujitia upofu wakati unaona.