Eti afande sele bado ni mchanga kisiasa kwaiyo hawezi jenga hoja bungeni au cjakusoma mtoa maada? Kwa hili uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo, wanasiasa wangapi ambao ndio ilikuwa mara yao ya kwanza kusimama ktk bunge linalomaliza muhula wake kwa sasa wakiongea bungeni watu miili inawasisimua na kutoa machozi wengine?
Na suala si kusaidia wananchi huku nyuma ya pazia unawanyonya, km ni mfuatiliaji mzuri kuna mtu alitarajia mashi na diaro wangepoteza mwanza kwa wanasiasa ambao wengi tumewajulia bungeni?
Siku zote mzarau mwiba mguu huota tende, afande sele jina nmekuwa nikilisia toka nko s/msingi hadi leo bdo nalisikia hii inaonesha kuwa ni mtu anayefahamika. Pia kumbuka kuna mtu km sugu alitokea kuwa msanii wa nyimbo za kufoka ila leo ndio mmoja ya wajenga hoja bungeni.
Tusisemee mioyo ya watu ni mara ngapi watu tumewakta wakilia kwa kuangushwa na watu wa karibu wasio wategemea? Hatima ya afande sele ipo kwa wana moro mjini wenyewe