Afande Sele VS Abood 2015

Afande Sele VS Abood 2015

Mwehu sele dhidi ya CCM kisha wote wawili wanakumbana na shoka la ukawa, mwehu nje na tajiri na mali zake
 
Siwapendi CCM, lakini Abood ni mmoja wa wabunge wachache wa CCM ninaowakubali, haongei sana bungeni, ila anaongea sana jimboni kwake na anatekeleza wajibu wa mbuge kwa vitendo. Kwa ufupi huyu jamaa anatisha!
 
Hiki nacho ni kichekesho cha Mwaka Afande Sele naye awe Mbunge...

ACT Baanah..
 
We vipi?? Afande Sele ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT-Limited katika zile nafasi 5 alizopewa Kiongozi Mkuu 'kumgawia' yeyote amtakae. Wewe humtaki wakati Kiongozi Mkuu ndio tegemeo lake?! Unamkosea adabu mkuu wa kampuni yenu
aiseee babayangu kampuni tena
 
Mi mkazi wa Bigwa, Morogoro hapa. Japo si mwanachama wa ACT ila kura yangu nampa Suleman Msindi
 
Huyu Afande Sele alipofika Butiama juzi aliniambia" Brother Andrew tupige picha". Sasa mimi nilikuwa simfahamu huyu. Nikasikia chorus ya sauti zinasema" Afande Sele". Nikauliza" Huyu jamaa ni mwimbaji?". Kwa hiyo tukapiga picha na. Afande Sele, Zitto,mimi na one or two others. Kama anataka kuwa mbunge . I wish him my intergalactic blessings kutoka kwa Kamanda Ashtar na Kamanda Hatonn.
 
Hao wengine uliowataja ni wabunge waliochaguliwa na wananchi watanzania,kwa maana nyingine unawadharau kwa uamuzi wao wa kuwachagua hao wabunge?
ofcourse yes. nawadharau sana. masikini naililia kodi yangu inayopotea kwa kulipa hawa jamaa, najuta kuchanguliwa kwa hao mbwiga.

hivi wewe hujisikii fahari kuwa na mbunge kama Zitto? lisu?, mwingulu? mnyika? makamba? msigwa? mdee? mnyaa? na wanaofanania na hao? hatakama wanahudumiwa kwa kodi yako kidogo inapunguza maumivu.
 
wote hao unawapigia kura wewe tu?
hapama, sijawapigia kura ila wanalipwa na kodi yangu. ni afadhali wangechagua hao wapiga kura wangechagua mawe maana mawe hayahitaji huduma yoyote na kodi yangu ingekuwa salama.

hivi wewe hujisikii fahari kuwa na mbunge kama Zitto? lisu?, mwingulu? mnyika? makamba? msigwa? mdee? mnyaa? na wanaofanania na hao? hatakama wanahudumiwa kwa kodi yako kidogo inapunguza maumivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom