Afande Sele VS Abood 2015

Afande Sele VS Abood 2015

Afande kugombea Moro mjini kakosea timing,Moro mjini hawezi kushinda
 
nimebahatika kukaa morogoro mjini kwa muda wa miezi sita Abood ni moja ya wabunge waliokaribu sana na wananchi na anakubalika sana so Afande labda aende matombo.
 
We vipi?? Afande Sele ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT-Limited katika zile nafasi 5 alizopewa Kiongozi Mkuu 'kumgawia' yeyote amtakae. Wewe humtaki wakati Kiongozi Mkuu ndio tegemeo lake?! Unamkosea adabu mkuu wa kampuni yenu

Haya umesikika mkuu na maneno yako ya kuaminika kabisa.
 
Dunia inakaribia ukomo wake sasa

Nilikua sijui kama bange inaweza kuongoza jamii

acha ufyatu wewe.....wabunge kibao wa chama chenu wanatumia bangi,mawaziri kibao wanatumia bangi.....hadi rais wa dunia alishatumia mmea na bado anatumia....acha kuvuta sigara tumia mmea.sigara itaakua kwa TB kijana
 
Sasa hivi yupo mwandiga na ayahttohlla wanakula migebuka na actccm imepotea kabisa

Tegemeo la wana Morogoro, saa ya ukombozi ni sasaaaaa???
 

Attachments

  • 1429967201851.jpg
    1429967201851.jpg
    15.5 KB · Views: 294
Kula msuba sio tatizo obama mwenyewe alishawahi kukirii alikua anakula msuba pia ata viongozi wetu wapo wanaokula msuba sio mpaka wajitaje jengeni hoja za maana msuba sio kitu cha maana sana kujadili........ma great thinker uchwara tu
 
Afande kugombea Moro mjini kakosea timing,Moro mjini hawezi kushinda

Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.

Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi
 
Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.

Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi

Ahsante mkuu kunijulisha,alichezea kete yake pale alipokuwa mfalme wa rhymes hata hivo unakumbuka kwenye zile harakati za vinega alimsaliti sugu,na kweli nilikuwa nawaza kwamba chadema wangemsimamisha Moro mjini wangefanya makosa.
 
Duuuuuuu Jf hakuna think tank hawa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) wamesahau ujumbe mzito wa viongozi wakuu wa Chadema ulitoka Dar kwenda kumpa kadi Afande Sele? Leo hii mnamtukana? Ama kweli vichaa mmeundiwa baraza lenu. Hata mwaka haujaisha mmeishasahau. Mhhhhhh Tz ni sheeeeedah
 
Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.

Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi

Upo sahihi kabisa mkuu, kuna siku alikuwa anahojiwa na gazeti la Mwananchi akadai kuwa anasikitika alipofiwa na mke wake CHADEMA hawakumsaidia kwa chochote...

Binafsi sijawahi ona chama cha siasa kinasaidia mwanachama wake wa kawaida kwny matatizo yake ya kifsmilia...

Alipokuwa CHADEMA hizo picha zake za aibu zilikuwa zina aibishq chama, ni bora amekimbilia kwa ---------:sly:
 

Attachments

  • 1429968698955.jpg
    1429968698955.jpg
    58.3 KB · Views: 233
Afande sele alikimbia chadema baada ya kushtukia kwamba hawataweza kumteua kugombea ubunge moro mjini.ni msanii na watu tunampenda kwa kutuburudisha ila kwa suala la siasa hapana.kwamba eti atusaidie kupitisha sheria za nchi,hapo hapana aloo.labda kama ataenda kuimba bungeni hapo sawa..ajikite kwenye muziki na tutaendelea kumpa support.no disrespect
 
napenda miziki ya sele lakini kura yangu siwezi mpa. najua kabisa naipoteza haki yangu kwa kuchagua below jiwe. afadhali kupigia jiwe halitakula kodi yangu bure kuliko huyo jamaa. the same applied kwa lema, sugu, kibajaji, prof. maji wafupi, asumpta, wenje na wanaofanania.

"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.

afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.

Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.

itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.

Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom