mbona sugu alishinda tofauti yao nini?
afande sele aende akaimbe bongo flave
Hahahah! Acha nicheke tumbunge gani analima mabange uko mlimani
We vipi?? Afande Sele ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT-Limited katika zile nafasi 5 alizopewa Kiongozi Mkuu 'kumgawia' yeyote amtakae. Wewe humtaki wakati Kiongozi Mkuu ndio tegemeo lake?! Unamkosea adabu mkuu wa kampuni yenu
Dunia inakaribia ukomo wake sasa
Nilikua sijui kama bange inaweza kuongoza jamii
Sasa hivi yupo mwandiga na ayahttohlla wanakula migebuka na actccm imepotea kabisa
Tegemeo la wana Morogoro, saa ya ukombozi ni sasaaaaa???
khahahahaaaa.....!Sugu hali jani na pia
Sugu hapigi picha za kuuza mataqo
Afande kugombea Moro mjini kakosea timing,Moro mjini hawezi kushinda
Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.
Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi
Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.
Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi
Tegemeo la wana Morogoro, saa ya ukombozi ni sasaaaaa???
Mkuu siyo kwa afande sele kumuangusha Abood hiyo ni sawa na mende kuangusha kabati tena mende mwenye siha
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.
afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.
Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.
itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.
Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.