la magica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,802
- 2,737
Hahahahahhaha tutake radhi mafundi magari..Afadhari Nandy mwenzie kaifua, hii ya Sele ni ya blue lakini inaonekana nyeusi kama ya fundi magari.
Hahahahahhaha tutake radhi mafundi magari..Afadhari Nandy mwenzie kaifua, hii ya Sele ni ya blue lakini inaonekana nyeusi kama ya fundi magari.
Sigara kali labda imemchanganyaHuyu Jamaa anamatatizo gani?
Juzi anatukanana na followers wake huko Instagram leo tena hivo!
Yaani ajabu kabisa aisee...CCM ni janga kudadeki
Yaani watu smart wakienda huko wanaturn demons
Uyu na wehu wachache ndio wanasababisha wavuta bangi tuonekane hatuna maana kabisa.
Afande kachanganya mafaili naona yaani yeye ndio kamlipa kodi ya nyumba Sugu.
HahaaaaaKopro sele amebakiza kubet mikeka tu hana issue ss hv,
Halafu anazungumzia mil 60 ya Sugu. Unaweza kuwa na michongo ya kupata mil 60 halafu ukalipiwa kodi?Mmh! Kwamba afande alikuwa anamlipia kodi sugu? Sijui lakini, labda....huenda....ila mmh! Haimezeki kirahisi hii
mdogo ake NandyG-Solo ndio nani?
Alikuwa msanii ila sio maarufu Sana kamaG-Solo ndio nani?
We afande bora unyoe kipara unatuabisha sisi marasta ...maana kila siku unaongea ujinga ...siunajua jinsi ..gani sisi marasta tumekupigania wewe afande uoni mpaka baa yako yako ya Pepon tulivyokuombea msamaha tukakutoa lokapu ...mshamba sana wewe Afande ulivyotolewa lokapu ukaona unaweza pelekwa jela ukanyolewa kipara sasa ndo ukaamua kuamia ccm...unazngua wewe afande ...mm najua kinacho kuzengua sio bangi ila niushamba wako wakunywa bia za ofa.
sasa tutaacha kuja kwenye baa yako ya peponi ukiendelea na uzuzu wako huu.
sio kubwa kivile nisehemu flani tu yakuchilax ...kuna mahema ...ukitaka kulala unalala ...na alipokamatwa afande akawekwa lokapu sababu ilikuwa ndo iyo ile baa ilifungiwa kuwa sio sehemu salama ya watu kupata urabu na kulala wakalala hapo. sasa baada yakuamia ccm ndipo walipo ifungua iyo baa.Hivi hiyo baa ya peponi ni kubwa sana au