Afande Sele: Inasikitisha na sio sawa Ngorongoro

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
879
956
“Katika hali ya kawaida unaweza kuona hii ni nyumba ambayo familia inaishi humu ndani…humu ndani inaweza kuishi familia mpaka ya watu kumi”

Kila kitu kinafanyika humu ndani, watu wanapika humu ndani, wanaishi wao na baadhi ya wanyama, unaweza kuona mbwa wanaingia na kutoka humu ndani lakini pia shughuli nyingi zinafanyika humu ndani kitu ambacho kikawaida kabisa tunapozungumza kwenye karne hii tuliyoifikia si sahihi kabisa kuacha watu waendelee kuishi kwenye maisha haya unayoyaona.

“Huwezi kuniambia kwamba binaadamu kwenye karne hii anaishi hapa,au hata wewe huko ulipo na familia yako kweli watoto wako wanalala katika mazingira kama haya, wanaamka katika mazingira kama haya nadhani sio sahihi kabisa” Selemani Msindi-Afande Sele.
 
Wengi ambao hawajawahi ku experience hicho kitu ndo utakuta wanashangaa kama afande hapo.
To be honest haya ndo maisha ya mmasai, na hakuna anaelalamika. Inatengeneza upendo mkubwa kato ya wanafamilia, pia inadumisha utamaduni wa kale na kale.
Tujiulize tu, ushawahi kuskia wamasai wamelalamika kuhusu kuishi hivi?
Serikali kwa njama zake ndo inaleta kiherehere cha kuwaamisha kwenda huko tanga for no apparent reason.

Bonus: ukila loshoroo iliowekwa kwenye nyumba kama hyo au mnafu, utajilamba.
 
“Katika hali ya kawaida unaweza kuona hii ni nyumba ambayo familia inaishi humu ndani…humu ndani inaweza kuishi familia mpaka ya watu kumi”

Kila kitu kinafanyika humu ndani, watu wanapika humu ndani, wanaishi wao na baadhi ya wanyama, unaweza kuona mbwa wanaingia na kutoka humu ndani lakini pia shughuli nyingi zinafanyika humu ndani kitu ambacho kikawaida kabisa tunapozungumza kwenye karne hii tuliyoifikia si sahihi kabisa kuacha watu waendelee kuishi kwenye maisha haya unayoyaona.

“Huwezi kuniambia kwamba binaadamu kwenye karne hii anaishi hapa,au hata wewe huko ulipo na familia yako kweli watoto wako wanalala katika mazingira kama haya, wanaamka katika mazingira kama haya nadhani sio sahihi kabisa” Selemani Msindi-Afande Sele.


View: https://twitter.com/JAMVILAHABARI/status/1697503302445887615?t=5FMm98rHaya%20ndio%20wale%20wale%20waandishi%20uchwara%20wanaenda%20kurecord%20huko%20Ngorongoro?%20Wako%20Okay%20na%20hayo%20maisha,%20usha%20sikia%20wanalalamikia%20kuhusu%20Nyumba?

View:
 
Zipo technology za ujenzi wa nyumba Bora za udongo walixotumia wakoloni kujenga majengo ingetakiwa iendelezwe nchini ili iondoe tatizo la makazi vijijini ni aibu watu kuishi kwenye nyasi utadhani panya
 
“Katika hali ya kawaida unaweza kuona hii ni nyumba ambayo familia inaishi humu ndani…humu ndani inaweza kuishi familia mpaka ya watu kumi”

Kila kitu kinafanyika humu ndani, watu wanapika humu ndani, wanaishi wao na baadhi ya wanyama, unaweza kuona mbwa wanaingia na kutoka humu ndani lakini pia shughuli nyingi zinafanyika humu ndani kitu ambacho kikawaida kabisa tunapozungumza kwenye karne hii tuliyoifikia si sahihi kabisa kuacha watu waendelee kuishi kwenye maisha haya unayoyaona.

“Huwezi kuniambia kwamba binaadamu kwenye karne hii anaishi hapa,au hata wewe huko ulipo na familia yako kweli watoto wako wanalala katika mazingira kama haya, wanaamka katika mazingira kama haya nadhani sio sahihi kabisa” Selemani Msindi-Afande Sele.


View: https://twitter.com/JAMVILAHABARI/status/1697503302445887615?t=5FMm98rDwS6_lKmuWYDrAQ&s=19

Duh!... tatizo kuna propaganda nyingi kuhusu Ngorongoro...kila upande una lenga kitu fulani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom