Afande Sele ajiandaa kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

Movement for change with no apology you want it or not its not a matter to consider cause reality you should be against cause it consumes you the cost you would never pay!!!!

Go commanders in charge Go!!!!
Only if you used the language you understand better we would have understood you better!
 
Kwani shida ni rasta na bangi? Nadhani demokrsia inampa uhuru kila mtu kugombea. Afande sele sina shida naye, japo sidhani kama atashinda kwa morogoro mjini. Angeenda mtera kwa Lusinde
 
Kwa miaka mingi jimbo la Morogoro mjini limekosa mwakilishi makini. Nafuu sana huyo Afande kuliko mbunge wa sasa...umezungumzia elimu aziz anaelimu ipi?! Tazama wakina Lusinde and many more of greens.
 
Kwani huyo Aboud ana nin na kafanya nin?

Nasikia kwenye misiba anawanunulia michele, pia anatoa bus wakazikie. na tv yake soccer ligi za ulaya ni free gharama kwake

Siipendi CCM ila Afande na jiwe, nachagua jiwe. Ngojea aanze kuwazingua chadema ndio mtamjua.
 
Litakuwa kosa kubwa kwa CHADEMA na UKAWA kumfanya Afande Sele awe mgombea,As much as i want to be represented by the opposition MP but I can't see myself voting for Afande Sele as my MP...puleez!Agombee Udiwani unamtosha!

any reason?
 
Itakuwa dharau kubwa kwa watu wa mkoa wa Morogoro, Afande Sele awe mbunge wetu?Khah!Sina tatizo na tatizo na imani yake ya Urasta wala sina tatizo na uvutaji bangi wake.Mbona wapo viongozi wengi tu wanavuta bangi lakini wanafanya vizuri kwenye nafasi zao?Tatizo langu kwake lipo kwenye haiba (personality) na mwonekano (appearance),come on hivi vitu ndivyo vina_command respect kwa kiongozi yeyote awaye.Kuna watu wanavuta bangi lakini kwasababu wana personality nzuri na appearance nzuri na wanajithamini huwezi kuwahisi kama wanavuta bangi,Mfano Joseph Mbinyi (Sugu) ambaye ni mbunge wa Mbeya mjini yupo safi kabisa na yuko presentable!Wakimweka Sele kwenye Ubunge then nitachagua rais na diwani tu.
Sidhani km unajua unalosema hapa..unathibitisha nilichojibu hapo juu.Personality ipi?Unajua personality au unaleta sababu dhaifu ambzo zinahitaji ushabiki na ujinga wa akili kukubalika.Steve Job hakuvaa suti kwa sababu.Suti inapunguza sana ufanisi.Hizo personality unazosema na hata nikikupa kalamu uzibainishe utaishia kuandika ujinga tuu.Watu wanaojiangalia sana mionekano yao huwa hata mvuto hawana,hawapo huru na michango yangu haina ubunifu au uhasilia,unless wanasema na kufikiri vitu rahisi vilivyozoeleka.Sugu naye wenzio walikuwa akisema hayupo presentable,haasoma sijui nini na nini ?Yote ni yaleyale ya wajinga waliopiga kelele nyingi sana kupotosha watu waende upande wa JK sasa tunaona nchi inavyojiendesha yenyewe.Tunaona Bungeni wageni wa personality wanapolazimisha upuuzi wao ukubalike kwa kublack mail watu WAHESHIMIWE.HATA WEZI HAWATAKI AMBIWA KUWA NI WEZI ETI WANAKOSEWA HESHIMA.
 
Halafu mnataka mletewe sera mbalimbali bungeni mjadili, mtajadili nini wakat mmejaza vilaza, lugha gongana, wakienda kwen.mikutano ya kimataifa ndo balaa full vichekesho. MUHONGO IS THE NEXT PM
Bado huja update understanding yako...mnatuchelewesha sana ktk hii dunia km mnavyokula hela ya rambirambi ya watanzania ktk misiba hii ya CCM.Muhongo si zaidi ya ESCROW pia aliendelea kuiba michango ya watanzania na wasio watanzania ktk REA.Nyie ndio ktk maandiko mmeandikwa Bora msingezaliwa.
 
Bado huja update understanding yako...mnatuchelewesha sana ktk hii dunia km mnavyokula hela ya rambirambi ya watanzania ktk misiba hii ya CCM.Muhongo si zaidi ya ESCROW pia aliendelea kuiba michango ya watanzania na wasio watanzania ktk REA.Nyie ndio ktk maandiko mmeandikwa Bora msingezaliwa.

Jembe lile litawakosesha sana.usingizi aibe ye amekuwa REA. Hayo maandiko yako ya kilusifa kaa nayo kwako hahhhahaha! Endelea kutoka povuuuuuu! Mi nalisikiliza jembe songea huku
 
Jembe lile litawakosesha sana.usingizi aibe ye amekuwa REA. Hayo maandiko yako ya kilusifa kaa nayo kwako hahhhahaha! Endelea kutoka povuuuuuu! Mi nalisikiliza jembe songea huku
Nilikuambia ua update akili hutaki kubali.Sidhani km kwenu mtu aliyepigwa kwa KO ndie mshindi.Usingizi alikuwa akiwakosesha nyie mliokuwa mkipiga tumba na kudanganyaika na mbwembwe zake wakati tulishasema day on hapa ni mpumbavu.Wapuuzi nyie tuu ndio mlipoteza muda ili kukwepesha aibu ,mwishowe wewe ,wajinga wegine na JK mmeshia kujiumiza tuu kwa kupoteza muda na mali ktk ujinga.
 
Iv unaenda kwenye sanduku la kura, afu unamchagua afande sele! huu ni utani sasa.
km mlimchagua wabakaji KOMBA,KAPUYA, ...wauaji CHENGE ,DITO, na wanunuzi wa MALAYA MALIMA etc na mizaha mingine ya CCM nini kimebaki.Hao wote wanadhuru wengine .ila sele anavyofanya hata km huvitaki vinamhusu yeya binafsi.
 
Nilikuambia ua update akili hutaki kubali.Sidhani km kwenu mtu aliyepigwa kwa KO ndie mshindi.Usingizi alikuwa akiwakosesha nyie mliokuwa mkipiga tumba na kudanganyaika na mbwembwe zake wakati tulishasema day on hapa ni mpumbavu.Wapuuzi nyie tuu ndio mlipoteza muda ili kukwepesha aibu ,mwishowe wewe ,wajinga wegine na JK mmeshia kujiumiza tuu kwa kupoteza muda na mali ktk ujinga.

Una hasira na maisha! Tuma salam huku ukijiandaa na kumpokea muhongo as ur next PM.
 
Una hasira na maisha! Tuma salam huku ukijiandaa na kumpokea muhongo as ur next PM.
Haha...hata alqaeda na wafuasi wa 2pac hawaamini kuwa walikuwa wa kawaida ingawa walikuwa ktk matendo fulani at extremes.Na wewe endelea na conspiracy theorem.Hata CCM wakiiba na kubaki madarakani kwa mtutu.Muhongo ataweka historia ya kuondoka haraka,tena kwa kupigwa mawe kwa jinsi lilivyo na akili nzito litakutwa likijibizana na watu.
 
Back
Top Bottom