Ukifanya jambo lolote la kumuumiza mtu,damu yake haiendi patupu,nakumbuka kuna askari mmoja tangu afe sasa yapata miaka 8,kifo chake kiliwashangaza watu wengi sana,ile anastaafu tu kajenga nyumba yake ilikuwa mwishoni kukamilika,msumari ukamchuna tu kidogo ndio kikwa chanzo,kikaanza kukatwa kidole,hajakaa sawa wakakata kiwiko cha mguu,hajakaa sawa kidogo mguu ukakatwa mpaka ikafikia kwenye maungio ya mguu yaani ilikuwa ni mateso kwake yule baba........kumbe chanzo histoiria inaonyesha kuna mtu aligongwa na gari na yule aliyemgonga alikuwa na hela so polisi wakabadilisha matokeo ikaonekana yule aliyegongwa ndio mwenye makosa ili kesi iwe nyepesi,yule aliyegongwa siku anapata taarifa iyo akaenda hadi kwake kwani alikuwa anakaa kambini,akamwambia mzee najua yule jamaa kanigonga ila mnasema mie ndio mwenye kosa basi namuachia Mungu atanilipia hii haki yangu....kwaiyo kuna kazi nyingine ukizifanya kuuma ama dhuluma inakuwa rahisi sana ambapo vitu ivyi havipoteagi burebure kwa wale uwauao ama uwadhulumiao