Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Kutokana na wasifu wao humu jamvini inaonekana ni watu watata sana kama kina Wily Gamba au Joram Kiango! Hivi huyu afande 7 6 anaweza kumshughulikia huyo Banjoo ambaye huko Arusha anaonekana mbabe na untouchable?