Afande Saba Sita vs Jambazi Banjoo

Afande Saba Sita vs Jambazi Banjoo

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,038
Reaction score
13,467
Kutokana na wasifu wao humu jamvini inaonekana ni watu watata sana kama kina Wily Gamba au Joram Kiango! Hivi huyu afande 7 6 anaweza kumshughulikia huyo Banjoo ambaye huko Arusha anaonekana mbabe na untouchable?
 
Siku hizi yuko Morogoro kitambi kimeondoa ukakamavu wote.Unakumbuka sakata la Dr Mwakyembe kutishiwa maisha saba sita alitajwa tajwa sana unajua anapenda deals sana.

Hivi saba sita aliishia wapi? Alitisha sana Arusha enzi zile pia issue ya wasomali wa ngorongoro copy kwa Prof Ngongo Nyamayao
 
Siku hizi yuko Morogoro kitambi kimeondoa ukakamavu wote.Unakumbuka sakata la Dr Mwakyembe kutishiwa maisha saba sita alitajwa tajwa sana unajua anapenda deals sana.

he he he! Kumbe bado anadunda kny uaskari! Niliwahi kuskia aliacha akawa mfanya biashara kumbe ni uzushi! Alikuwa hodari sana lkn pia mpenda hongo kama kina malisa
 
Saba sita limebaki jina hawezi kitu yule hakuwa polisi bali jizi la madili
 
Back
Top Bottom