Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,918
- 5,113
Mrembo umepotea sana, mara ya mwisho nilikutana nae moshi, akaniambia yupo moshi, sijui bado yupo ama vipi.
Nipo my dear, nimemsoma Sabasita hapa nikakukumbuka lol labda kwa sasa yuko Moro naona makeke yatakuwa yameisha.