Afande Saba Sita vs Jambazi Banjoo

Afande Saba Sita vs Jambazi Banjoo


Saba SITA ajiandalia kaburi la kuzikwa
Screenshot_2022-01-22-06-37-46-65_f598e1360c96b5a5aa16536c303cff92.jpg
 

Saba SITA ajiandalia kaburi la kuzikwaView attachment 2091102

Hii habari ukiiangalia kijuujuu unaweza kuichukulia poa,lakini kwa maisha ya hawa jamaa ukute hapo KARMA inamsumbua.
May be ROHO za watu ama dhurma, ila mwenyewe ndo anajua mambo yapi anakumbana nayo..

Nb: Maaskari polisi wengi wanamaliza maisha yao vibaya sana,tena kwa maumivu sana..
MUNGU awasaidie.
 
Saba sita anajijengea kaburi lake tayari laana ya maovu aliyowatendea watu inaanza kumvaa
 
Dah baada ya kuangalia video ndo nimemjua vizuri.
Baba ake Tunda wa Wozu huyu..
Alikuwa askari upelelezi Morogoro alikuwa anakaa vikota fulani hivi mbavu za mbwa kuelekea Madizini..
Kuna fundi alituhadithia alikuwa anarekebisha Tv kwake, alirudi kubadilisha nguo,alikuwa ameloa damu kama katoka kuchinja nguruwe..

Hayu DAMU za watu zinamsumbua
 
Hii habari ukiiangalia kijuujuu unaweza kuichukulia poa,lakini kwa maisha ya hawa jamaa ukute hapo KARMA inamsumbua.
May be ROHO za watu ama dhurma, ila mwenyewe ndo anajua mambo yapi anakumbana nayo..

Nb: Maaskari polisi wengi wanamaliza maisha yao vibaya sana,tena kwa maumivu sana..
MUNGU awasaidie.
Naomba Mungu asiwasaidie hamna watu wa hovyo kama polisi...ajichimbie Kaburi au ajinyonge ni Jambo zuri sana!!
 
Nakumbuka enzi zake Sheik Amri Abei alikuwa akizunguka uwanja mara kumi hadi mpira umalizike ameshapiga salute mara 100.
Sahihi kabisa alikuwa na mbwembwe sana, alikuwa anatembea na kirungu, pingu, pistol na vikorokoro vingine, wakati wa mechi za ligi kuu Mkoa wa Arusha ukiwa na timu ya Ndovu alikuwa anazuguka uwanja mzima wa Sheikh Amri Abeid kudhibiti mashabiki waliokuwa wanaruka ukuta. Sasa hivi yuko Mkoa wa Manyara Ofisi ya RPC kama Staff Officer, nimeshangaa kumuona mtandaoni akiwa amejiandalia kaburi lake huko Moshi. Ni habari zinazotrend mtandaoni kwa sasa.
 
Wote hao no matapta tu..hakuna kitu. Kuna kipisi cha baba kinaitwa Mojaa... Hatari
 
Back
Top Bottom