ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
aaaaah! KUMBE........GARI,nilijua TiGo at work
we jamaa uko creative sana aisee bigup 4dat'Difenda' lililopaki hapa mbele ya Kituo Kidogo cha Polisi,Mlimani-UDSM limechoka. Mbele,kwa Dereva na maofisa wengine,pako nyang'anyang'a. Viti vyote vimeharibika. Afadhali hata nyuma kwake kunavutia. Polisi mnatia aibu. Tumikieni wadhalimu wa CCM na mjijali. Aibu kweli..