Mimi sijajua huyu jamaa ni nani mpaka aje huku ajadiliwe au ndio Fisadi kama mafisadi wengine??
Mimi sijajua huyu jamaa ni nani mpaka aje huku ajadiliwe au ndio Fisadi kama mafisadi wengine??
Uzuri wa Bongo ukifa watu wanasahau mabaya yako.
RIP Joe.
R.I.P Learned Braza. Du!!!!!!! His death is many steps behind!!!!!
Uzuri wa Bongo ukifa watu wanasahau mabaya yako.
RIP Joe.
Sio kwamba wanasahau ,ila wanaogopa kusema hadharani,vichochoroni wanasema.
Ni mkwe au vijana wao ndio wameoana? Poleni wafiwa wote.
Huyu ndio the man behind KCPL (Kiwira Coal Power Limited)
Habari ndio hiyo.
kwa kuwa alishahukumiwa sawa sawa na matendo yake basi wengine tufunge midoma au kuifungua kwa kuimba kuwa : BWANA UTUFUNDISHE KUZIHESABU SIKU ZETU AU BWANA HUKUMU ZAKO WEWE NI ZA ADILI