Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
 
Wachonganishi hao, hata hivyo..tawala za kiislamu zinakuwa na shida sana sijui tatizo ni Nini?! Ukifuatilia utagundua ..tangu awamu ya kwanza Hadi sasa
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?
 
na uislamu wa tanzagiza pia ni adui wa maendeleo ya mtu mweusi, kama hamjalijua hilo mpaka leo, nasikitika kusema mnalizunguka tatizo, uislamu wa tanzagiza umekuwa vitani against “mfumo kristo” from day one, lengo ni kubomoa wanaouita “mfumo kristo” …
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Yupo ustadhijuma ameshaanza hizo choko choko, huyu ni chawa wa mama anataka kujivika Uislam ili kupata uungwaji mkono lakini naona Waislamu wenye kujitambua wamempotezea.
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Unaambiwa jamii kubwa ya Watanzania ni wajinga, wanashabikia vitu via kipuuzi tu kuliko vya maana na ndipo hapa CCM inapopenda. Magufuli alijitahidi sana kutaka kufuta huu ujinga ila watu walimshangaa kwanini anawaamsha Watanzania waliolala, viongozi wataibaje hela bila kunyoshewa vidole na wananchi na ndiyo maana unamuona Mama anapambana sana kuboreha michezo nchini na kuwapa vijana wa bongo fleva, bongo movie, machawa vipaumbele ili tu wananchi waendelee kuwafuatilia wao na kusahau mambo ya msingi maishani.
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Nakusahihisha mkuu gwajima ajawai kunyamazia mambo ya watu kuuwawa bila hatia, tangu mwaka 2007 na hapa ndipo alipoanza vita hii Rasmi ni pale tu kilipotokea kifo Cha "Amina chifupa " gwajima ni miongoni mwa viongozi wa kiroho wanao amini kabisa Kuna wazalendo wa kweli kabisa katika nchi wanauwawa kwa kukemea maovu katika nchi.
 
na uislamu wa tanzagiza pia ni adui wa maendeleo ya mtu mweusi, kama hamjalijua hilo mpaka leo, nasikitika kusema mnalizunguka tatizo, uislamu wa tanzagiza umekuwa vitani against “mfumo kristo” from day one, lego ni kubomoa “mfumo kristo” …
Nakubaliana nawe moja kwa moja, anglia mikoa inayoendekeza Uislam hapa Tanzania ilivyo gizani, watu kusoma hawataki eti ni haram ila anashinda vjiweni na msikitini kupiga story siku nzima na kuteta wanaume wenzao waendao makazini, ni akili kweli hii?
 
Ukiona mtu anaanza ingiza udini sehemu isiyohitajika ni lipumbavu. Dini inabaki Imani ya mtu mwenyewe, hakuna dini inayomtuma mtu kafanye maovu, dini zote zinatuasa kutofanya maovu.

Mtu akifanya maovu ni yeye, kwanza nashangaa hata watu wanavyoshupalia haya mambo ya dini, hizi dini ambazo leo mtu ni dini hii, kesho anasema nimehamia dini ile ndiyo mtu ushupalie mpaka mishipa ya kichwa ikusimamame?

Kuna watu akili na kuishi kwao kote ni dini tu, hakuna anachowaza zaidi ya hivyo. Sasa huyu mtu utamwambia nini anachojua kingine? Hawa ni kuwaacha tu, hata usemeje hawatakuelewa. Ni mambumbu sukuma reli.
 
Sasa kama adui yenu ni CCM, kwa nini mnataka kugeuza misikiti kuwa Sunday School? Au mnataka kusema Uislamu ndio CCM?

Umekurupuka kuandika, havieleweki.
Mimi ni muislam,lakini na support anachokipigania gwajima,yes anaweza akawa na chuki na waislam lakini kwenye hili tum support....waache kwanza kuteka na kuua watu kama kuku then tutarudi kwenye vita na yeye kwa nn ageuze msikiti uwe Sunday school
 
na uislamu wa tanzagiza pia ni adui wa maendeleo ya mtu mweusi, kama hamjalijua hilo mpaka leo, nasikitika kusema mnalizunguka tatizo, uislamu wa tanzagiza umekuwa vitani against “mfumo kristo” from day one, lego ni kubomoa “mfumo kristo” …
Kitu ambacho hakiwezekani...kutumia majini ku dismantle mfumo wa kidunia ni ngumu...Elimu ya kisecula inaitajika
 
Nakubaliana nawe moja kwa moja, anglia mikoa inayoendekeza Uislam hapa Tanzania ilivyo gizani, watu kusoma hawataki eti ni haram ila anashinda vjiweni na msikitini kupiga story siku nzima na kuteta wanaume wenzao waendao makazini, ni akili kweli hii?

achana na hao waislamu masikini, look at the bigger picture man, who owns tanzagiza’s economy? nitajie industrialist 3 wa maana Wakristo waliobakia, na siyo kwamba hawakuwepo walikuwepo lkn what happened to the Mengi & Co. ? Wakristo dont own anything in tanzagiza, kama haujaariwa na serikali au shirika la umma chances are utahitaji kazi kwa muislamu azam au sijui asas na dewji, sasa hata mwendo kasi imeenda, nilisikia sgr pia itawekwa sokoni sijagusia utalii huko hakuna black man serious anaye own anything huko mbugani kuanzia vitalu mpaka magari ya kubebea watalii, wake up man …
 
Kitu ambacho hakiwezekani...kutumia majini ku dismantle mfumo wa kidunia ni ngumu...Elimu ya kisecula inaitajika

hakutakuwa na raisi mkristo tena in next 50 yrs, subiri mtaona …
 
Mimi ni muislam,lakini na support anachokipigania gwajima,yes anaweza akawa na chuki na waislam lakini kwenye hili tum support....waache kwanza kuteka na kuua watu kama kuku then tutarudi kwenye vita na yeye kwa nn ageuze msikiti uwe Sunday school
Nakubali tupinge kwanza utekaji Kwa pamoja aukubaliki katika nchi ccm must out💯
 
Back
Top Bottom