Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

Unaambiwa jamii kubwa ya Watanzania ni wajinga, wanashabikia vitu via kipuuzi tu kuliko vya maana na ndipo hapa CCM inapopenda. Magufuli alijitahidi sana kutaka kufuta huu ujinga ila watu walimshangaa kwanini anawaamsha Watanzania waliolala, viongozi wataibaje hela bila kunyoshewa vidole na wananchi na ndiyo maana unamuona Mama anapambana sana kuboreha michezo nchini na kuwapa vijana wa bongo fleva, bongo movie, machawa vipaumbele ili tu wananchi waendelee kuwafuatilia wao na kusahau mambo ya msingi maishani.
Nimekuelewa Kaka
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Muogope sana Muislam ambaye hana Elimu dunia! Na kama anayo ya kubahatisha, awe hajaelimika! Aisee utajuta kumfahamu.
 
Back
Top Bottom