Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

Waafrika tulikosea sana kupokea dini bila kuigeuza hiyo dini iingie kwenye mfumo wa utamaduni wetu. Badala yake sasa dini zimetugawanya tumeshindwa kujijua sisi ni wakina nani. Sisi wote ni weusi wa ngozi ni ndigu wa damu lakini eti unakuta kuna mtu anadai nduvu yake ni yule wanaesali naye hata akiwa myahudi huku akimpotezea mtu ambaye wameshare hadi ukoo kisa wapo kwenye dini tofauti.
 
Nakubaliana nawe moja kwa moja, anglia mikoa inayoendekeza Uislam hapa Tanzania ilivyo gizani, watu kusoma hawataki eti ni haram ila anashinda vjiweni na msikitini kupiga story siku nzima na kuteta wanaume wenzao waendao makazini, ni akili kweli hii?
Nimecheka sana . umemaliza mkuu
 
inategemea uko upande gani, kwani hakuna uvugu vugu, wavugu vugu will suffer the most …
Hayo madini ni ya kwenu nyie washamba mkuu,mimi sina hizo...utamaduni wa kizungu ama kiarabu..nimeupiga kidole cha matako
 
Hayo madini ni ya kwenu nyie washamba mkuu,mimi sina hizo...utamaduni wa kizungu ama kiarabu..nimeupiga kidole cha matako

lkn haitakuokoa, wajuaji au wanaojiona wanajua ndiyo victims namba moja, kwani haujui hata kinachoendelea …
 
lkn haitakuokoa, wajuaji au wanaojiona wanajua ndiyo victims namba moja, kwani haujui hata kinachoendelea …
Kama hamtaniteka ,sijali kwamba najua ama sijui...ni spana tuu mpaka wahuni mkae sawa
 
Hamuwezi kufanya harakati zenu bila kuhusisha uislamu. Shida nn? Sisi tukiongea tunaishia kupewa kesi za ugaidi. Nyie endeleeni kufanya harakati zenu sio lazima waislamu wawaunge mkono.
 
Nimecheka sana . umemaliza mkuu
Yaani usibishane na muislam, mwache tu aropoke mwishowe atajimaliza mwenyewe kama wafanyavyo wanaojilipua na kwenda motoni na kukuta wale mabikra 72 waliodanganywa na Muddy kumbe ni hadith tu, hamna lolote. Kusoma raha sana.
 
Wachonganishi hao, hata hivyo..tawala za kiislamu zinakuwa na shida sana sijui tatizo ni Nini?! Ukifuatilia utagundua ..tangu awamu ya kwanza Hadi sasa

umeingia kwenye mfumo mkuu, Acha udini. Mleta mada anaukemea wewe umeurukia.
 
Mimi ni muislam,lakini na support anachokipigania gwajima,yes anaweza akawa na chuki na waislam lakini kwenye hili tum support....waache kwanza kuteka na kuua watu kama kuku then tutarudi kwenye vita na yeye kwa nn ageuze msikiti uwe Sunday school

Siwezi msapoti mtu kama Gwajima mtu ambae yeye mwenyewe ameshindwa kueleweka Hapo alipo ni Mbunge wa CCM.
 
Mleta muda unaona chuki za wagalatiya kwa uislamu ndani ya thread yako?
 
Mleta muda unaona chuki za wagalatiya kwa uislamu ndani ya thread yako?

Wagalatia hawawezi kutupenda waislam hata tungeimba kwaya kwenye Ibada zetu,ni watu wa kuwazoea...

Ila mafala kama huyu Gwajima ni kupiga Pini tuh
 
Na sisi adui yetu siyo wakristo,ni yoyote anaechezea amani kama askofu uchwara Gwajima,kama mnaona amefungiwa kisa ni mkristo hiyo ni juu YENU
Gwajima ni Imanu Rashidi ana Msikiti wake pale Salasala kwa General Mbowe 😂
 
Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha

Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda.

Na Magufuli mpaka akampa ubunge!!

Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu

Hawa naweza waita wajinga

Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM toka mwaka 2015

Adui yetu ni CCM sio Uislamu

Kujificha kwenye udini ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kujibu hoja.

Kibao anatetewa na Gwajima sio kwamba ni muislamu Bali ni Mtanzania

Watanzania wanatekwa

Yaani tuache kutetea Watanzania twende kutetea waparestina?

Hivi Hawa wanapinga hoja za utekaji Wana ajenda gani na Tanzania?
Screenshot_20250602_220104_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom