Adui namba moja wa Tanzania ni CHADEMA

Adui namba moja wa Tanzania ni CHADEMA

Mambo gani ya maana kijana? Ccm ya sasa ni ovyo sana. Sina time nao. Siwapendi kwa matendo yao km ya zimwimtu
ha ha ha ha..... kama unasema ccm ya sasa ni ya hovyo kuliko ya zamani, na wewe ulikuwa mpiga dili. madili kama yale mliokuwa mnapiga na akina shigongo.
 
ha ha ha ha..... kama unasema ccm ya sasa ni ya hovyo kuliko ya zamani, na wewe ulikuwa mpiga dili. madili kama yale mliokuwa mnapiga na akina shigongo.
Unajua kuwa shingongo ni mwa ccm?
 
Unajua kuwa shingongo ni mwa ccm?
haswaaaa ni mwanaccm kindaki ndaki. huyo aliwauzia ninyi (wewe ulikuwa mwana ccm pia) tshirt za dola 2 huko china kwa 90,000/=. ili mpige cha juu. kwa hali hii lazima uichukie ccm ya sasa.
 
CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.

Kwani CDM ndiyo waliokwapua zile bilioni Nane za Kivuko kibovu??
 
Anayeshabikia chadema akapimwe akili

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Watu hawashabikii CDM ila wanakiunga mkono.kwa juhudi zake kuikomboa Tanzania.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana hata kwenye riport ya makinikia waliotajwa ni viongozi na makada wa CHADEMA
 
programmer95 ipo corrupted inatoa information vise versa
 
Adui namba moja ni yule aliyepo madarakani zaidi ya miaka 50 na bado.wanafunzi wanakaa chini...

Wanatembea umbali mrefu kufuata shule...

Kuna uhaba wa walimu


Hakuna huduma safi za maji

Huduma za afya za kusuasua....

Huyo ndio adui wa kweli wa watanzania
 
CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Wenzako wako kwenye hafla ya kurudisha hela za wizi wewe unafanya nini huku?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
ACHA UJINGA WEWE HATUONGELEI YALIYOPITA BALI YA LEO BADO UNATURUDISHA 1995 UNA AKILI AU UNA MATOPE??? KWAKUWA YALIPITISHWA NA CCM IENDELEE KUWA HIVYO MPAKA UMALIZE UMRI WAKO WA MAKA 60 ULIYOBAKIZA DUNANI AU TUREKEBISHE? KUMBE WANA CHADEMA NDIVYO MLIVYO UNAAMBWA HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI TIBA WEWE UNAONGELEA HABARI ZA MAREHEMU NDYO ALIMWAMBUKZA UGONJWA SASA UNAWEZA KUMFUFUA MAREHEMU AJE KUJIBU KESI YA KUMWAMBUKIZA UGONJWA MGONJWA WAKO, KAMA ALIVYOFANYA MCHIZI WENU LEMA PALE MOUNT MERU HOSPITAL MPAKA MAITI IKAHARIBIKA????
Sasa unalia lia nini hapa wewe badala ya kufanya action?
Si mbadilishe tuu inashindikana nin? Bungeni CCM wako tele, Serikali ni yenu. Sasa CHADEMA inahusikaje hapo? Wewe ndo mwenye nyumba hausafishi unawasingizia majirani hawakusaidii. Wazame ndani waibuke na ukombozi wa taifa..... Mwache kulia lia wezi nyie.
Sasa mnaanza kujisafisha kwa kurudisha pesa mlizotupora miaka nenda rudi....

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
nyie ndo mnatumika vibaya kutwa kuwatetea wezi kama wakina manji na accacia kuwa chadema inabidi ujitoe akili maana hamjielewi mara lowassa fisadi mara lowassa msafi
Manji na Accacia wizi wao sio wa kificho mmekuwa nao na wanawachangia fedha nyingi kuendesha shughuli za uchaguzi.

Leo Serikali ya ccm ndio mnawaona!?

Lowassa yuko hai kama ni Mwizi mbona Serikali haimkamati???
 
Chadema kina miaka 25 sasa, charity begin at home, kimefanya maendeleo gani? Mpaka sasa bado kimepanga, Sabodo alitoa hela ya kuchimba visima majimbo yote yote ya chadema zimeliwa, fuso za M4C eti kila moja 600m? ? [emoji15] [emoji15]
Bodaboda za M4C lizilosambazwa mkoani kila moja waliinunua 1.2 lakini kuweka logo za M4C ikatangazwa tender eti Mtei akashinda kuweka logo kwa kila bodaboda moja eti 1m? ?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
chadema wamechukua majiji ya Dar na Moshi eti parking wamewapa wakenya kwani hakuna watanzania wenye sifa? ?
Halafu wanataka nchi? ?
Kuleni ruzuku bhana usituchoshe.
Kumbe huoni mchango wa CHADEMA nchini?, nadhani una mtindio wa ubongo. Maendeleo yote ya nchi hii kwa miaka 25 iliyopita ni influence ya CHADEMA na vyama vingine vya siasa ukikiondoa Chama tawala ambacho kila mara kinadhani ndicho kilicho na hati miliki ya Tanzania. Maendeleo huanzia kichwani, ni ongezeko la wananchi kujitambua na kufahamu wajibu wao, hivo kuongeza tija in production and others

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe huoni mchango wa CHADEMA nchini?, nadhani una mtindio wa ubongo. Maendeleo yote ya nchi hii kwa miaka 25 iliyopita ni influence ya CHADEMA na vyama vingine vya siasa ukikiondoa Chama tawala ambacho kila mara kinadhani ndicho kilicho na hati miliki ya Tanzania. Maendeleo huanzia kichwani, ni ongezeko la wananchi kujitambua na kufahamu wajibu wao, hivo kuongeza tija in production and others

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
Ulichokiandika hebu kisome tena kisha ujitathimini
 
hivi vyama vifutwe tu ni vikwazo kwa maendeleo tubakie na single party
 
CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Wacha weee!
 
Ulichokiandika hebu kisome tena kisha ujitathimini
Wewe ndiyo ujitathmini. Sijui hata uliwahi kufika darasani au unaandika kwa kujua Kiswahili? Discuss the factors that contributed to her development in 25 of multi partism. Utajua mchango wa CDM.

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
 
Hiv bado kuna mtu bado anashabikia chama ndan ya nchi hii! Mie kiukwel rais tu anatosha.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo inaitwa inferiority complex, kwanza hapana hata siku moja Huawei GL-9 imefanyiwa promosheni, utaipata ukiwa na over 1m, kitu ambayo huna, kisha huna hoja. Mwanaumeeeeeee sema ukweli hoja yako haina makali. Ukishindwa usitafute visingizio vya ku comfront mtu.

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
chadema hamna hoja kabisa
 
Sio ccm ? Chadema walisaini mkataba wa mgodi UPI ?walileta ESCROW? WALILETA EPA ? MAKANIKIA ?

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Si hayo tu,chagadema wanataka wakulima wauze chakula nje ya nchi na kukisafirisha bila vibali. Tulishasema sio watu hawa !
Wakati wa kulima unalima nao ?

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom