Aliyepitisha na anaunga mkono na kuwasaidia wezi wote ni MAJIZI tu.Kumbe cdm ndio waliopitisha miswaada ya kifisadi ya madini bungeni huku wakipiga makofi na vigeregere?
In god we trust
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Aliyepitisha na anaunga mkono na kuwasaidia wezi wote ni MAJIZI tu.Kumbe cdm ndio waliopitisha miswaada ya kifisadi ya madini bungeni huku wakipiga makofi na vigeregere?
In god we trust
kwanini muwatete wezi wakishughulikiwaSio ccm ? Chadema walisaini mkataba wa mgodi UPI ?walileta ESCROW? WALILETA EPA ? MAKANIKIA ?
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Kwan ccm sio Lowasa,Sumayi ,kingunge na wengine wakati mikataba inasaini sumaye alikuwa nani serikali na katika Ccm?.ni walewale wamebadili chumba cha kulala tuUmekosea sana Adui wetu wa maendeleo ni
1.CCM
2.UJINGA
3.MARADHI
4.UMASIKINI
tumeshuhudia ccm ikifuta ajira, ikila rambi rambi, ikiminya demokrasia leo ukiwa chadema ww ni muasi, imesaini mikataba mibovu, yapo mengi
Unakumbuka Makufuli aliuza nyumba za serikali na kununua kivuko kibovu?
Take your cheque 7000
Naona ndio umeandika kinyume kwamba adui mkubwa ni yule aliesaini mikataba mibovu ambae ni ccm,na wabunge wake kupitisha mikataba mibovu huku wakiwadhihaki wapinzani,sasa Lumumba hawakupi hata mia kwa kuwaongelea kinyume.CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Hivi hayo makinikia ndiyo dhahabu yenyewe? Na je wakituachia tutayafanyia nini maana vifaa na uwezo wa kupembua hatuna? Tutajengea nyumba??!!CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Ukirudi utatia akili,ban jema!CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
hebu niandikie jina la jiji analo liongoza makonda kwanza . maana inaonesha hata jinsi ya kuliandika huwezi.CHADEMA kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh Rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.