gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
Ujinga ni mzigo mzito sana, kuubeba yahitaji ujitoe fahamu
Chadema kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Fisadi yupi? Lugumi au kikwete au mkapa?jibu post kwa hoja kwani uongo hamuwatetei mafisadi
Chadema kina miaka 25 sasa, charity begin at home, kimefanya maendeleo gani? Mpaka sasa bado kimepanga, Sabodo alitoa hela ya kuchimba visima majimbo yote yote ya chadema zimeliwa, fuso za M4C eti kila moja 600m? ? [emoji15] [emoji15]Ama kweli nyani haoni kundule miaka zaidi ya 50 watanzania masikini Wa kutupwa ni chadema wamesababisha?ccm mmewatesa sana watanzania
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Mwenye mikataba yake yupo Chattle kwa mtoto wake.Kumbe cdm ndio waliopitisha miswaada ya kifisadi ya madini bungeni huku wakipiga makofi na vigeregere?
In god we trust
WoteFisadi yupi? Lugumi au kikwete au mkapa?
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
mkapa na kikwete ni marehemu? kwani wamekufilia wapijibu post kwa hoja cdm ya sasa sio ile ya slaa ambayo ilikuwa inajenga hoja zenye manufaa
Umeonaeeeeee?Mwenye mikataba yake yupo Chattle kwa mtoto wake.
Chadema kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Kabisa mkuuUmeonaeeeeee?
In god we trust
Ccm ndio adui namba 1 kwa maendeleo ya tanzania ufisadi umefanywa na CCM,mikataba mibovu CCM,kula rambi rambi CCM ewe hayawani mpya wa Lumumba acha kujipendekeza fanya kazi upate kula siku hizi buku 7 hazilipwiChadema kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Wangemdedisha aliyefuta ajira K Tanzania ingepata amani sana maana huyu ndiyo mwiba kwa vijana wetu wapenda maendeleo.Chadema wamekuwa washabiki wa majambazi ya Kibiti yanayoua raia wema, wakisikia yameua ndiyo furaha yao.
Chadema kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
NA MKIPEWA KADI ZA CHADEMA HUWA MNAONGEZEWA AKILI NDIYO MAANA MPO IKULU KWA AKILI ZENU NYNGIMimi nafikiri kipindi mnapewa kadi za CCM huwa mnaanza kurogwa kwa akili za kawaida huwezi kuandika utumbo huu kwani zamani ndio nini??Mnajivunia zaman huku mtia taifa hasara nyiny kweli mafisi
Mfuate Canada mkale mihogo wotejibu post kwa hoja cdm ya sasa sio ile ya slaa ambayo ilikuwa inajenga hoja zenye manufaa
unaitaji wapinzani wa kweli sio wanafki kama chadema ambao hawana akiba ya maneno yaoBoss programmer95 Bila Upinzani Madhubuti na wa Ukweli, hakuna Maendeleo. Na kumbuka Chadema ni Chama Cha Upinzani.
Adui namba moja wa Tanzania ni Wewe, Mimi, Mwananchi, Mtanzania. Tanzania itajengwa na Mtanzania. Usitegemee Tanzania kujengwa na Mzungu au Mtu wa nje.