Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,456
- 1,410
- Thread starter
- #81
nyie ndo mnatumika vibaya kutwa kuwatetea wezi kama wakina manji na accacia kuwa chadema inabidi ujitoe akili maana hamjielewi mara lowassa fisadi mara lowassa msafiUjinga ulionao ni zaidi ya matatizo yanayokukabili na kwa mtindo huo wa uelewa mbovu, utoshaji wa makusudi kwa umma ukidhani kujipendekeza ndio inalipa.
Taifa haliwezi endelea kwa mitazamo ya kishenzi kama hii ya kupandikiza chuki na kupitosha ukweli.
UNATUMIKA VIBAYA KAMA SIO BASI UELEWE WAKO SUFURI AMA UMEJIONDOA AKILI KWA KUSAKA MSOSI BILA KUJUA TUMBO HALINA SHUKRANI.