CDM haijawahi kuwa ya Slaa.jibu post kwa hoja cdm ya sasa sio ile ya slaa ambayo ilikuwa inajenga hoja zenye manufaa
=ShabikiaMkuu umesahau wanavyo shabekia suala la uharifi kanda ya Pwani!!!
Mungu anawaona,halafu hawatosheki kabisa.Ama kweli nyani haoni kundule miaka zaidi ya 50 watanzania masikini Wa kutupwa ni chadema wamesababisha?ccm mmewatesa sana watanzania
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Ccm ndie adui mwenyewe maana ujinga ndio unazaa maradhi na ccm haitaki wananchi wapate elimu bora ili wasihojiwe kwa wizi wao na ndio maana hawako tayari kubadili mitaala ya elimu na katiba.Umekosea sana Adui wetu wa maendeleo ni
1.CCM
2.UJINGA
3.MARADHI
4.UMASIKINI
tumeshuhudia ccm ikifuta ajira, ikila rambi rambi, ikiminya demokrasia leo ukiwa chadema ww ni muasi, imesaini mikataba mibovu, yapo mengi
Unakumbuka Makufuli aliuza nyumba za serikali na kununua kivuko kibovu?
Take your cheque 7000
Kama hakuna hoja atajibu nini?jibu post kwa hoja kwani uongo hamuwatetei mafisadi
Hawa ndiyo walisema ndiyooooo ??? na later kuwaita hao hao wezi vidume ??Chadema kimeibuka na kuwa adui mkubwa wa maendeleo leo wanakesha usiku na mchana kuona Tanzania inaanguka tumeliona ile kwenye swala la makinikia ambapo baada ya kuunga mkono jitihada za mh rais Magufuli za kujikomboa katika wizi wa wawekezaji wao wamekuwa maagent wa wezi tukaona kwenye issue ya madawa ya kulevya pia tunaona katika vita ya mafisadi.
Msimamo wa chadema ni kuwa na katiba mpya ambayo itasimamia rasilimali za umma sio mpiga dili mnayemuita mzalendo wakati alishiriki kupitisha sheria mbovu zinazohujumu taifa. Ile katiba ya Warioba yenye maslahi kwa nchi ccm waliikataa, sasa nani mwenye akili timamu awaunge mkono ccm wakati ndio chanzo cha matatizo ya matatizo nchini.ACHA UJINGA WEWE HATUONGELEI YALIYOPITA BALI YA LEO BADO UNATURUDISHA 1995 UNA AKILI AU UNA MATOPE??? KWAKUWA YALIPITISHWA NA CCM IENDELEE KUWA HIVYO MPAKA UMALIZE UMRI WAKO WA MAKA 60 ULIYOBAKIZA DUNANI AU TUREKEBISHE? KUMBE WANA CHADEMA NDIVYO MLIVYO UNAAMBWA HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI TIBA WEWE UNAONGELEA HABARI ZA MAREHEMU NDYO ALIMWAMBUKZA UGONJWA SASA UNAWEZA KUMFUFUA MAREHEMU AJE KUJIBU KESI YA KUMWAMBUKIZA UGONJWA MGONJWA WAKO, KAMA ALIVYOFANYA MCHIZI WENU LEMA PALE MOUNT MERU HOSPITAL MPAKA MAITI IKAHARIBIKA????
Kuwatetea kivipi?kwa kusema tufuate sheria ndiyo kuwatetea?kweli Tanzania bado sana lakini tutafika kwa kijikongoja. Mikataba mibovu m sign wenyewe leo mnatafuta mchawi. Hata wapinzani wakisema mna hiari ya kufuata au kukubali kwani mko wengi.jibu post kwa hoja kwani uongo hamuwatetei mafisadi
Yaliyopita ndiyo matokeo ya haya matatizo ukweli kupanda maharage ukavuna mahindiACHA UJINGA WEWE HATUONGELEI YALIYOPITA BALI YA LEO BADO UNATURUDISHA 1995 UNA AKILI AU UNA MATOPE??? KWAKUWA YALIPITISHWA NA CCM IENDELEE KUWA HIVYO MPAKA UMALIZE UMRI WAKO WA MAKA 60 ULIYOBAKIZA DUNANI AU TUREKEBISHE? KUMBE WANA CHADEMA NDIVYO MLIVYO UNAAMBWA HUYU NI MGONJWA ANAHITAJI TIBA WEWE UNAONGELEA HABARI ZA MAREHEMU NDYO ALIMWAMBUKZA UGONJWA SASA UNAWEZA KUMFUFUA MAREHEMU AJE KUJIBU KESI YA KUMWAMBUKIZA UGONJWA MGONJWA WAKO, KAMA ALIVYOFANYA MCHIZI WENU LEMA PALE MOUNT MERU HOSPITAL MPAKA MAITI IKAHARIBIKA????
lowassa na sumaye kwan wapo ccm acha kujitoa akili unasahau hadi ufisadi wa mbowe kwa nhc au pesa ya sabodo mbona unakuwa mwepesi wa kusahau kilichotokea kwenye msiba wa ndesamburoWewe ni mzutiii tena mzutii uliochakazwa kwa chips funga,ccm nani msafi asimame,miaka 54 mmefanya nini hakuna fisadi nje ya chama chenu,si makada wote wezi nyambafuuu