Mkuu nina watu tunafahamiana humu hawapungui 20 nikiongea uongo najiharibia...niamini huwa sina sababu ya kudanganya..Kabisa kabisa kaka. Ila si rahisi kuacha kazi ya jeshi, unatuchora tu wewe ili tujue you are now not a soldier
Nami nimevuka ujana nakimbilia umri wa kati mkuuNinaamini wazee ndiyo huwa na busara za namna hiuo.
Akikujibu nitag.Ilitokea wapi hii brother?
Ujinga huo haupo tena mkuu.Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
😂😂😂Nasemaje!, usije kutana na hao watu ukaleta ujuaji, utaumia mzee baba!. Nasema utaumia sababu hakuna atakayeajibishwa kwa wajeshi wa nchi hii. Bro wangu mmoja hivi alikutana na kisanga pale makongo kipindi anasoma pale Tumaini bachelor of laws, alileta ujuaji wa sheria lkn kilichokuja kumpata hatasahau maisha yake yote.
Wale wana wanatumia neno AMRI, zingatia sana hilo neno usije jichanganya aisee...
Hii kutukwanwa sasa ni adhabu jeshini si kawaida kabisa ..adhabu zao ubaya wake wanatesana kisaikolojia.wanaadhibiwa adhabu mbaya sana wale jamaa au kutukanwa kabisa na wakubwa kama mambo yakienda hovyo
Dah,Kumbe mkuu wewe ni bakabaka?Sitaki kukumbuka huo ufedhuli...zaidi aliutenda rafiki yangu.
Nakumbuka siku tunarudi kambini jioni tukiwa tumepakiana kwenye pkpk XL250.
Nyuma yetu tulifuatwa na lori la mchanga na juu yake walikuwa na vijana sita wakielekea kupakia mchanga.
Mbele yetu kulikuwa na beria ya kambi yetu ambayo hufanya ukaguzi wa magari ya kiraia.
Sasa sisi tulikuwa tunaendesha mwendo wa kawaida tu lkn lori lilikuwa na fujo na speed likitaka kutupita
Kwa vile tulikaribia hiyo beria hatukuwapisha...sasa vijana juu ya gari wakaanza kuporomosha mitusi kama ujuavyo wavuta bangi.
Kwa vile tulikuwa tunaongea kwa sauti kama ujuavyo mkiwa na pikpiki mnalazimika kuongea kwa sauti hatukuweza kusikia hayo matusi lkn askari aliyekuwa getini alisikia na tulipofika getini alusema...afande mbona mnatukanwa na hawa vijana wapuuzi?
Yule rafiki yangu kusijia vile aligeuka kichaa kwa hasira...
Geti likafunguliwa ile beria na kuamuriwa wapaki pembeni...
Wote wakaamuriwa kushuka pamoja na dereva wao.
Amri ikatolewa wavue mashati na suruali.
Wakaulizwa...hawa mnaowatukana mnawafahamu? Au kwa vile wamevaa kiraia?
Jamaa yangu akaruka juu ya mti akavunja tawi...
Ghafla wote wakapokea fimbo 6 kila mmoja mgongoni.
Akawaamuru walale chini kwenye kokoto
Na waviringike...daah jamaa walitokwa damu hadi niliwaonea huruma.
Ndani ya dakika 10 hawafai kutazama.
Niliingilia kati kuzuia kuendekea kuteswa kidogo tuzipige na jamaa yangu.
Mengine...yabaki tu
Labda akuue, lakini kama hujafa, na ukakomaa na hiyo ishu ya uonevu na kuhakikisha unaifikisha mbele ya vyombo vya nidhamu za kijeshi Askari aliyekuwa Lindo siku hiyo msala anao. Labda kama jeshi limegeuka kikundi cha Kihuni, lakini kama kweli ni jeshi lenye nidhamu, huyo afande au hao maafande msala wanao, tena si mdogo!Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Ukiwatii ndo umeumia kwa sababu utafanya adhabu ambazo siyo haki kwa mujibu wa sheria. Usiwatii kabisa ili option yao iwe ni wakupige wakuumize au wakuue, halafu waje waone kama Jeshi litawakingia kifua. Itakula kwao!.Usichokijua kuhusu hawa watu wao hawakupigi ili wakuuwe na wana nidhamu ya ajabu kuhusu silaha,usitegemee akushikie bunduki hata kiwembe tu hawakushikii huwa wanachotaka wao nidhamu izingatiwe na hata uwe mkorofi vipi wewe mbele yao ni mchumba tu,na wanaweza kuwa na njaa lakini hela yako hawachukui.
Usije siku ukakutana nao ukawajibu hovyo ukitegemea watakupiga ili wakuuwe nduguzo wakafungue jalada,hao utapewa adhabu mbalimbali ukitoka hapo wiki nzima kuna vitu hutaweza kuvifanya kama ulivyozoea.
Nina jamaa yangu tulivuka maji tukaenda Kigamboni na Starlet yake ina music mkubwa kuna kambi ipo sehemu inaitwa kitu kama Longoni au Ulongoni kuna kambi ya wanajeshi sasa tukapita pale sauti ipo juu,hatukujua walipotokea walitupeleka kwenye mess yao kikaletwa kindoo litre kumi kimejaa ubwabwa jamaa wakatuzunguka wakasema nanukuu "tunakunywa bia moja moja zikiisha hamjamaliza tunaleta ya litre 20 zingine"
Wakashauri atakaeshiba apige push ups ili chakula kijisage aendelee kula,cha kushukuru jamaa walikuwa wameshalewa na jamaa yangu nae alikuwa dizain amelewa so akili za kilevi zikakutana adhabu haikuzingatiwa sana,jamaa hupenda ukiwa mtiifu wanakuacha ukijifanya much know utaiva.
Na tuliotoa adhabu tunaruhusiwa kusimulia?
Mungu anisamehe tu
Kumbe wewe ni soldier mkuu??? Uwiiiii jambo afandeSitaki kukumbuka huo ufedhuli...zaidi aliutenda rafiki yangu.
Nakumbuka siku tunarudi kambini jioni tukiwa tumepakiana kwenye pkpk XL250.
Nyuma yetu tulifuatwa na lori la mchanga na juu yake walikuwa na vijana sita wakielekea kupakia mchanga.
Mbele yetu kulikuwa na beria ya kambi yetu ambayo hufanya ukaguzi wa magari ya kiraia.
Sasa sisi tulikuwa tunaendesha mwendo wa kawaida tu lkn lori lilikuwa na fujo na speed likitaka kutupita
Kwa vile tulikaribia hiyo beria hatukuwapisha...sasa vijana juu ya gari wakaanza kuporomosha mitusi kama ujuavyo wavuta bangi.
Kwa vile tulikuwa tunaongea kwa sauti kama ujuavyo mkiwa na pikpiki mnalazimika kuongea kwa sauti hatukuweza kusikia hayo matusi lkn askari aliyekuwa getini alisikia na tulipofika getini alusema...afande mbona mnatukanwa na hawa vijana wapuuzi?
Yule rafiki yangu kusijia vile aligeuka kichaa kwa hasira...
Geti likafunguliwa ile beria na kuamuriwa wapaki pembeni...
Wote wakaamuriwa kushuka pamoja na dereva wao.
Amri ikatolewa wavue mashati na suruali.
Wakaulizwa...hawa mnaowatukana mnawafahamu? Au kwa vile wamevaa kiraia?
Jamaa yangu akaruka juu ya mti akavunja tawi...
Ghafla wote wakapokea fimbo 6 kila mmoja mgongoni.
Akawaamuru walale chini kwenye kokoto
Na waviringike...daah jamaa walitokwa damu hadi niliwaonea huruma.
Ndani ya dakika 10 hawafai kutazama.
Niliingilia kati kuzuia kuendekea kuteswa kidogo tuzipige na jamaa yangu.
Mengine...yabaki tu
Si unataka kujua km wanajeshi wanabutua au wanafanyaje, hawakupi adhabu km huna kosa au hujawakosea hususani unapokua mazingira ya eneo la JeshiSasa kunya kambini si ni kosa kisheria? Kwa nini unye kambini?
Hivi unapaangaliaje humu JF kuna soldiers kuna makamanda wa kutosha,Kumbe wewe ni soldier mkuu??? Uwiiiii jambo afande
Hawakupi adhabu km huna kosa, uwe unaelewaUkiwatii ndo umeumia kwa sababu utafanya adhabu ambazo siyo haki kwa mujibu wa sheria. Usiwatii kabisa ili option yao iwe ni wakupige wakuumize au wakuue, halafu waje waone kama Jeshi litawakingia kifua. Itakula kwao!.
Baadhi ya Wanajeshi hasa vijana wanaendeshwa na Mob psychology. Hizi tabia za kihuni huwezi kuzikuta kwa wanajeshi ambao ni matured!.
Ndio maana wanajeshi hawapendi kuzinguliwa kwenye himaya yao eneo la Jeshi, we mtambie kote Ila usiende kumtambia kwenye himaya yake hatoangalia wewe ni raia au wewe ni nani utachangamshwa kidogo ili siku nyingine ujifunze na uwe mfano kwa wengineMtu yeyote anayekuonea na kukufedhehesha kwa makusudi, huyo naamini unatakiwa kufa naye kabisa, hatakiwi kusamehewa pasipo kuadhibiwa.
Askari wa Tanzania wengi - ingawa sio wote- hawana adabu, wanapenda kutumia uaskari wao kuonea watu.Afande akileta upuuzi huo unamgomea tu, maana ni kinyume cha maadili ya kazi za jeshi. Hawezi kukufanya lolote. Hawezi kukuua na kama Akikudhuru unamfikisha kwa wakubwa wake tu , uone kama kibarua chake hakijaota nyasi.
Tatizo watu hawajui haki zao na wanaogopa magwanda. Lakini nidhamu za kijeshi zinakataza kabisa askari kuonea raia.
Mikwara ya kiboya hii.. Bongo wengi hawajui Haki zao wamejaa uoga uoga kama huyu mikwara mingiUnapatikana wapi
Sio kweli kwamba eti wanatumia uaskari kuonea raia,Askari wa Tanzania wengi hawana adabu, wanapenda kutumia uaskari wao kuonea watu
Wabongo Bwana Kwa hiyo Duniani ikiwa ndogo asiongee.. nchi hii BwanaMkuu hifadhi maneno.
Dunia ndogo sana hii
Mambo ya Seminari hayo, ukisema uliepigwa na aliekupiga wote mnafukuzwa Seminari, kwa hio mnayamaliza chini kwa chini tofauti zenu mnaziweka sawa chini kwa chini hakuna kusemeleana hapo father asijue km ulipigwa na fulaniMpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Asiongee akiwa nyuma ya keyboard aende eneo la tukioWabongo Bwana Kwa hiyo Duniani ikiwa ndogo asiongee.. nchi hii Bwana