Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,366
- 4,554
Ujasiri kwenye smartphoneMuache mjuaji huyo akojaa18 atakubali mziki.
Ujasiri kwenye smartphoneMuache mjuaji huyo akojaa18 atakubali mziki.
Uchizi wenyewe hauwezi, kule kuna wendawazimu kabisaAnajifanya chizi![]()
Ndo unatakiwa ujue kuwa siyo kwakua Kaka yako alifanyiwa hivyo basi ni halali kufanyiwa hivyo unachotakiwa ni kukubali kueleweshwa na siyo kubishania ujinga na kuona ndo sifa na halali kufanyiwa matendo ambayo yako kinyume na sheriaSina cha kukujibu kaka mkubwa maana naona tutadhalilishana tu
Mwamba kavimba nyuma ya keyboard au sio ?Mimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja
Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Hao wanajeshi unawachulia kama kina nani???unadhani wakikuta mtu anajielewa watamzingua??Jaribu uende kuleta ujuaji wako, utasimulia hadi wajukuu kitakachokupata. Wanajeshi epuka sana akiwa yupo eneo la kazi na hapo ulimkuta alipangiwa jukumu fulani, kazi ikiharibika anaadhibiwa na kuliko litokee hilo ndiyo anakuzingua. Kama huyo wa lori aliyekutana na MP, wale kituo chao cha kazi ni hapo getini kama angekutwa na wakubwa geti limezibwa hivyo angezinguliwa na ndiyo hapo aliamua kumzingua yeye.
Cheza na mwanajeshi sehemu zingine zote ila si eneo lake la kazi, wanaadhibiwa adhabu mbaya sana wale jamaa au kutukanwa kabisa na wakubwa kama mambo yakienda hovyo
Haujakutana nao kwenye himaya yao aisee nenda kanye kambini pale uonekane unakunya ndio utaeleza vizuri unayoyaeleza, unafikiri wanakusubisha bila sababuMimi Nina msimamo sitishiwi nyau, ukishaanza kigugumizi ndo wanakuchukulia poa, mwanaume ongea straight Kwa kujiamini na kunguruma kama simba, ikiwezekana unawatandika na maswali mpaka waone hii kichwa sio nyenzetu hii Wala sio ya kuchezea. Kudadeki mbona na salute wangenipigia.
Hawakuzingui bila sababu wao sio vichaa, kambini usinye eneo la Jeshi usizingue eneo la Jeshi ile ni himaya yao ukizingua watakuosha tu, alafu nenda kashtaki ukiwa na kasimu mkononiHao wanajeshi unawachulia kama kina nani???unadhani wakikuta mtu anajielewa watamzingua??
Utazinguliwa ukiwa hujielewi tu.
Usichokijua kuhusu hawa watu wao hawakupigi ili wakuuwe na wana nidhamu ya ajabu kuhusu silaha,usitegemee akushikie bunduki hata kiwembe tu hawakushikii huwa wanachotaka wao nidhamu izingatiwe na hata uwe mkorofi vipi wewe mbele yao ni mchumba tu,na wanaweza kuwa na njaa lakini hela yako hawachukui.Mimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja
Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Umeingia kwenye 18 zao, halafu uendelee kujikubali sijui sheria itakulinda, haloo we jamaa temea chini siyo juu, omba yasije kukukuta, utarudi kuja kufuta hii comment yako.Afande akileta upuuzi huo unamgomea tu, maana ni kinyume cha maadili ya kazi za jeshi. Hawezi kukufanya lolote. Hawezi kukuua na kama Akikudhuru unamfikisha kwa wakubwa wake tu , uone kama kibarua chake hakijaota nyasi.
Tatizo watu hawajui haki zao na wanaogopa magwanda. Lakini nidhamu za kijeshi zinakataza kabisa askari kuonea raia.
Nyinyi ndo mnqfanya upuuzi kuwanyenyekea,hao ni washkaji na ndugu tuko naoHawakuzingui bila sababu wao sio vichaa, kambini usinye eneo la Jeshi usizingue eneo la Jeshi ile ni himaya yao ukizingua watakuosha tu, alafu nenda kashtaki ukiwa na kasimu mkononi
Nenda kanye pale eneo la Jeshi Lugalo, tena kunya kwenye lami ndio utawaonyesha ukichaa wako ulipoishiaNyinyi ndo mnqfanya upuuzi kuwanyenyekea,hao ni washkaji na ndugu tuko nao
Mimi Huwa napita lugalo mara nyingi nikitembea sijawahi kupewa adhabu sana huniuliza naenda wapi Hadi maafande wamekuwa rafiki acheni uoga wa wajedaKuna mwamba alikatiza lugalo miaka ya 90, wajeda wakampa adhabu ndogo tu ya kujaza ushuzi kwenye chupa ya soda.
Hawakuzingui km hujazingua, pita Lugalo nenda kwenye zile bustani za pembeni vua sketi yako mwaga kojo alafu jamaa wakuone hakikisha wamekuonaMimi Huwa napita lugalo mara nyingi nikitembea sijawahi kupewa adhabu sana huniuliza naenda wapi Hadi maafande wamekuwa rafiki acheni uoga wa wajeda
Sasa mimi kwanini ninye??Nenda kanye pale eneo la Jeshi Lugalo, tena kunya kwenye lami ndio utawaonyesha ukichaa wako ulipoishia
Hawakuzingui km hujazingua kua muelewa, na wanakua na molari sana sana ukiwazingua kambini au eneo lao la Jeshi ukiwa ndani ya eneo la Jeshi, nje unaweza hata umtukane au umtemee mate na asikufanye kitu, nenda eneo la Jeshi kamfanyie hivyo akupe fundishoSasa mimi kwanini ninye??
Hivi from no where tu waje waanze kunizingua ntakaa nawaangalia??
Sisi wabongo ni wapuuzi sanaa.
Daah sema sisi wabongo kwa story za vijiweni tuko vizuriHawa jamaa ni shida Kuna siku jamaa yangu alijichanganya huko kambini akapewa adhabu ya kuhamidha tofali 500 kuxitoa upande mmoja ma kuxipeleka upande mwingine akapambana na kuweza kuhamisha tofali 350 huku jasho likiwa limemtoka gafla akaonana na ndugu yake ambae ni mjeda na ana cheo kikubwa akamwelezea kosa na adhabu aliyopatiwa akawa anamuomba msaada huyo mjeda akasema nitakusaidia usijali hebu rudisha hizo tofali ilipozitoa nafikiri tatizo litakuwa limeisha! Da jamaa aliishiwa pozi

hiyo story naisikia nahisi hii mara ya hamsini, watu wengi wanasimulia either wao au rafiki zao ndio yaliwakuta na kila mtu huweka idadi yake hapo kwenye matofali, eti jamaa yako daah 

Huo ulikuwa utemi wa kizamani sana.Afande akileta upuuzi huo unamgomea tu, maana ni kinyume cha maadili ya kazi za jeshi. Hawezi kukufanya lolote. Hawezi kukuua na kama Akikudhuru unamfikisha kwa wakubwa wake tu , uone kama kibarua chake hakijaota nyasi.
Tatizo watu hawajui haki zao na wanaogopa magwanda. Lakini nidhamu za kijeshi zinakataza kabisa askari kuonea raia.