Adhabu za wanajeshi

Wewe waongopee wenzio,Pale Twalipo kuna kibao kabisa kinazuia wenye magari wasizibe geti,ukiziba ni lazima adhabu ndogo ndogo kama hizo zikupate,wadanganye wenzio wagome wapate adhabu kubwa. wanajeshi wanakera sana Mie niliwahi kuvaa koti la jeshi kiomboi nikijua hakuna wanajeshi kule ntakuwa salama,nikakutana na mwamba yupo likizo.
 
Hebu nikuulize, ukigomea adhabu hizo za kihuni, wanajeshi wanakufanya nini?, wanakuchoma kisu?, wanakupiga mangumi?, wanakuua?
 
Hebu nikuulize, ukigomea adhabu hizo za kihuni, wanajeshi wanakufanya nini?, wanakuchoma kisu?, wanakupiga mangumi?, wanakuua?
Unaweza kupata fedheha mkuu,wanashindwa kukumwagia ndoo ya maji? au kukuburuza kwenye mtaro wa maji machafu kinguvu? Si heri ushukie dirishani yaishe.
 
We jidanganye, kwa taarifa yako hayo yana badaka za wakubwa hayo.
Unataka kuniambia mnadhimu wa Jeshi la JWTZ amebariki uvunjaji wa sheria na katiba ya nchi?- Hakuna kitu kama hicho. Ukiamua kukomaa unakomaa nao kwelikweli hadi kuhakikisha hiyo ishu inafika mbali.
 
Unaweza kupata fedheha mkuu,wanashindwa kukumwagia ndoo ya maji? au kukuburuza kwenye mtaro wa maji machafu kinguvu? Si heri ushukie dirishani yaishe.
Sasa wakikuburuza chini hiyo ndo violence yenyewe ambayo itawacost.
Unakumbuka wale maofisa wa jeshi la uhamiaji walioagiza raia agalegale chini live kwenye camera kisa eti ni kishoka wa passport, unakumbuka jeshi la uhamiaji lilivyolaani ujinga wao?- Kuna taarifa kuwa maafande wale walipewa adhabu za kinidhamu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka kama mazur,ww naye inaonekana mvivu mvivu
 
Mie mwenyewe sikubali mtu anizalilishe kisa eti ni mjeda na Kuna wajeda wengine huzalilisha Hadi watu umri wa kuwazaa kabisa eti kisa mjeda. Jamani Mimi sifanyi adhabu yoyote tuone ka wataniua
We wanaweza kukutembezea miti kabisa na ushirikiano ukautoa.
 
Jw hana maajabu kutana magereza kwenye 18
pale goms kuna kambi ya jeshi,sasa kuna jamaa mmoja alikutwa juu ya mnazi akiangua nazi!!! akaambiwa ashuke alaf akaulizwa kwa nini anafanya ivo akajibu kwamba ni njaa tu inamsukuma!!!,,,basi akapelekwa kambini alaf akapewa supu kaama sufuria kubwa kabisa,,,,,,akala mpaka akashindwa,akalazimishwa amalize,,,jamaa alikomaa mpaka akamaliza,alipoamaliza akaambiwa avue nguo zote alaf aruke kichurachura,,,,,lahaula!!!!!.....jamaa kila akiruka akawa anashuksha kifusi cha kinyesi
 
Mbona unajikanyaga kanyaga tu lakini hueleweki unandika nini au unataka tujue kuna neno linaitwa CPA unalijua? Sasa lina maajabu gani? CPA kwa kiswahili ni sheria ya mwenendo wa makosa ya jidai unang'ang'ania tu CPA R.E 2002
Sasa CPA hiyo ya 2002 imefanyaje? Maana Revised Edition ipo hadi 2022na zote hakuna ambayo inamfanya raia akose haki zake
Kama zipo hizo sheria sema.

Kinacho kusumbua wewe ni ushamba na maneno ya vijiweni ila hauna unachojua, makosa yote ya jinai yanaamuliwa mahakamani na hakina sheria inayo mruhusu mwanajeshi atoe adhabu kwako, hizo adhabu wanapeana wao kwa wao huko kambini pindi wanapofanya makosa ya utovu wa nidhamu, wewe raia unatakiwa upelekwe mahakamani ndo sehem unayotakiwa upewe adhabu.

Adhabu yoyote anayotaka kukupa unaweza kukataa kuifanya ilimradi tu haujakataa kukamatwa na wakikukamata wanatakiwa wakukabidhi polisi huko ndo utaenda kufunguliwa mashtaka na siyo wao kukupiga au kukudhalikisha, huyo dereva alieambiwa ashukie dirishani alitakiwa akatae kushukia dirishani na hakuna kitu chochote ambacho angemfanya, kumuua hawezi Wala kumpeleka mahakamani hawezi maana hakuna kosa la jinai kusimama mbele ya kambi ya jeshi kwasababu ya foleni na wakati serekali imepitisha barabara hapo.
 

Unaleta Mgomo wa JamiiForums nenda live
 
Sawa Mwamba wewe KibondoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 

Kipo mpk leo
 
πŸ‘€πŸ‘€πŸ™„πŸ™„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Jaman kweli kwa wenzetu yanachekesha ila yasitukute tu,nilivyo mvivu mvivu watanizika tu
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaleta Mgomo wa JamiiForums nenda live
Tunatofautiana. Wewe wakikumata wakasema galagala chini kwenye tope watii, Sisi wengine hatuko tayari kutii ujinga huo , Watupige risasi kama wanataka!. Katika mazungumzo nao Tutakuwa tukiwakumbusha tu katiba ya nchi inasema nini juu ya haki za wananchi na wajibu wao kama askari kuwa jukumu lao kuu ni kuilinda katiba ya nchi.

Wakifanya uhuni hilo goma halitoishia hapo, litafika hadi kwa CDF AU MAHAKAMANI NO MATTER LITACHUKUA MUDA GANI
 
Mkuu nina watu tunafahamiana humu hawapungui 20 nikiongea uongo najiharibia...niamini huwa sina sababu ya kudanganya..
Rafiki ulitoka ukiwa na cheo gani huko
 
 
Naona mnajifagilia siku hizi hatuwashobokei ni wa kawaida sana,,,migwanda tu mpaka mashoga wapo jeshini cku hz,,,vijana wengi wengi saizi unfit jeshi limekuwa ajira kama ajira nyingine
khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…