Adhabu za wanajeshi

Adhabu za wanajeshi

Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako

Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Kwa kuteteana wale jamaa kiboko,lakini ukiwa na mzito wa kukupa backup na ushahidi atapewa adhabu za kijeshi na MP mpaka wewe mwenyewe ukiona unaweza kumhurumia.
 
Kwanza ukifika kuna wakukusikiliza mwache ajipe moyo, ukiona unasikilizwa ujue hyo ni critical issue kweli kweli la sivyo ukifika ataitwa "afande maro mbona kijana amechafuka embu mpereke akaoge" hapo ujue unaenda kuoga vumbi ukitoka huko hurudi tna
Hakikisha unajua mifumo ya ufanyaji kazi ya Jeshi, ikiwemo utawala. Huendi tu kibubusa kama yatima. Hapo unainvolve hata Wanasheria. Na unakomalia bango kwelikweli. Msala ukishafika hatua fulani kila afande anauogopa, maana afande hajui mkubwa ajaye utakayempelekea msala wako atawachukuliaje hawa wa chini walioliaibisha jeshi.

Ukiwaogopa hawa jamaa wanaweza kubaka halafu usifanye lolote
 
Hakikisha unajua mifumo ya ufanyaji kazi ya Jeshi, ikiwemo utawala. Huendi tu kibubusa kama yatima. Hapo unainvolve hata Wanasheria. Na unakomalia bango kwelikweli. Msala ukishafika hatua fulani kila afande anauogopa, maana afande hajui mkubwa ajaye utakayempelekea msala wako atawachukuliaje hawa wa chini walioliaibisha jeshi.

Ukiwaogopa hawa jamaa wanaweza kubaka halafu usifanye lolote
Sawia, lakini kuna hizi no mbili za nje nje ya Mij karibu na mipaka hahah sio watu kwenye maeneo yao ya kazi hata asimame nani mbele yake mkuu.
 
Unataka kuniambia mnadhimu wa Jeshi la JWTZ amebariki uvunjaji wa sheria na katiba ya nchi?- Hakuna kitu kama hicho. Ukiamua kukomaa unakomaa nao kwelikweli hadi kuhakikisha hiyo ishu inafika mbali.
Kuja kupata nafas ya kumuona ni mtiti,kama wewe sio kibopa ama huna koneksheni.
 
Mimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja

Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Unajifanya mjanja kisa upo nyuma ya keyboard
 
Kuna mwanadada alikutwa anadinywa kwenye maeneo yao alafu muuni akakimbia yeye akabaki na chupi kavaa mguu mmoja kwa bahati nzuri alikutana na afande wa kike akamkusanyia mchanga kama kilo moja kisha akamwamuru akitawanye kwa ushuzi, So funny pale chini palibaki kipara
 
Wewe upo hapo nyuma ya keyboard unajiona ni jasiri sana, sasa mimi nakwambia nishawahi kukaa nao jamaa kwenye mafunzo huko walikuja watu watata sana na watukutu kupitiliza ila baadaye walikuwa wapole. Hao jamaa waone hivyohivyo na magwanda yao kama mabishoo ila wameshindikana. Kama unataka amani na kutetea haki yako kuwa mpole na upeleke malalamiko baadaye kwa wakubwa zao atashughulikiwa hata kupoteza kazi. Sasa wewe jitie una ujasiri wa waandamanaji wa UKAWA, utakuja kusimulia
Wameshindikana kwa lipi?!
Wakati ukimuamulia hasa kwa kuvunja sheria kwake anakupigia magoti!
Unadhani sio Binadamu hao na hawaogopi kudhtakiwa na kumwagwa kazini?!
Tatizo hatujui sheria na Ni waoga kupindukia.. hicho tu!

Kuna mmoja mtaa alihama ..kataka kupanda watu kichwani kisa jw,!
 
Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako

Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Achana na story za vijiweni, zitakupotezea muda
 
Wewe upo hapo nyuma ya keyboard unajiona ni jasiri sana, sasa mimi nakwambia nishawahi kukaa nao jamaa kwenye mafunzo huko walikuja watu watata sana na watukutu kupitiliza ila baadaye walikuwa wapole. Hao jamaa waone hivyohivyo na magwanda yao kama mabishoo ila wameshindikana. Kama unataka amani na kutetea haki yako kuwa mpole na upeleke malalamiko baadaye kwa wakubwa zao atashughulikiwa hata kupoteza kazi. Sasa wewe jitie una ujasiri wa waandamanaji wa UKAWA, utakuja kusimulia
Acha kuwafundisha watu uoga na kukubaliki kunyanyasika wakiwa wananyang'anywa haki zao za msingi. Ukianza huo unyonge utapigwa makofi hata na wadogo zako
 
Kwenye pitapita zangu nikaingia kwenye eneo la Jeshi kukata majani ya kulisha ng'ombe. Mbele yangu kulikuwa na maembe dodo yanatamanisha sana. Sasa mimi sikujua kama ni eneo la jeshi.

Nikaenda chini ya embe dodo nikaanza kuyapopoa maembe.

Muda kidogo naona pale nilipoacha mkokoteni wa kubebea majani kuna mtu amekaa na magwanda, huku anazuga anaongea na simu.

Oya, siisahau ile siku.
We jamaa kama ni wewe kweli maeneo ya mirambo nisamehe sana 🤠🤠
 
Back
Top Bottom