Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,340
- 17,641
Kwa kuteteana wale jamaa kiboko,lakini ukiwa na mzito wa kukupa backup na ushahidi atapewa adhabu za kijeshi na MP mpaka wewe mwenyewe ukiona unaweza kumhurumia.Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
