Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,550
- 6,108
Naomba kufahamu kuhusu hii adhabu na mahali inapotekelezwa mtu anapohukumiwa?
Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu?
Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia kiboko gani; cha mti au ile ngozi?
Nahitaji pia kufahamu na mengine mengi unayoyafahamu kuhusu adhabu hii.
Asante.
Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu?
Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia kiboko gani; cha mti au ile ngozi?
Nahitaji pia kufahamu na mengine mengi unayoyafahamu kuhusu adhabu hii.
Asante.