jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
Research zinaonyesha Idadi kubwa ya hawa watu wanapata hili Tatizo baada ya kushtakiwa na kupewa adhab ya kwenda jela kwa makosa tofauti tofauti
Labda Watu hawajui Kama katika viwanda vya kuzalisha Mashoga Ambavyo serikali inamiliki ni jela!! JELA ndiko zinazaliwa hizi Tabia kulingana na mfumo wake ulivo,Watu huko wanabakwa,wanalowa 071... Na hamna kosa MTU anashtakiwa eti kamfanyia hivo mwenzie huko jela ....POLISI magereza hawaamulii wala kutetea wanyonge huko ajabu yake baada ya kutoka huko watu wanakua Machoko!! Sasa unawarudisha jela wakaendeleze au wakabadili tabia??Sehem iliyomjenga MTU haiwez mbadilisha??
Ni sawa na Kumvua samaki halafu unamtupia tena kwenye maji!!
Ili jela kuwe sehem ya kubadili Tabia bas ni Lazma sexual abuse ipngwe na wahusika wachukuliwe hatua!! Hawa watu ukiwarudisha huko ndo wanaenda kuolewa kabisa!!
Labda Watu hawajui Kama katika viwanda vya kuzalisha Mashoga Ambavyo serikali inamiliki ni jela!! JELA ndiko zinazaliwa hizi Tabia kulingana na mfumo wake ulivo,Watu huko wanabakwa,wanalowa 071... Na hamna kosa MTU anashtakiwa eti kamfanyia hivo mwenzie huko jela ....POLISI magereza hawaamulii wala kutetea wanyonge huko ajabu yake baada ya kutoka huko watu wanakua Machoko!! Sasa unawarudisha jela wakaendeleze au wakabadili tabia??Sehem iliyomjenga MTU haiwez mbadilisha??
Ni sawa na Kumvua samaki halafu unamtupia tena kwenye maji!!
Ili jela kuwe sehem ya kubadili Tabia bas ni Lazma sexual abuse ipngwe na wahusika wachukuliwe hatua!! Hawa watu ukiwarudisha huko ndo wanaenda kuolewa kabisa!!